King Majuto na Sharobalo meen!

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,340
Reaction score
12,055
Jamani nauliza eti hawa watu ni baba na mwana? maana nimezisikia hizi habari mtaani, naomba mwenye ukweli anijuze, lengo ni kufahamu tu maana hawa ni mastaa wetu wa bongo.
 
kivyako Si Baba na mwana hawa ila wote wamekutana kwenye kazi tu,
sharobaro ni mtoto wa mwanamuziki King Kiki mzee wa kitambaa cheupe kama sijakosea.
 
Last edited by a moderator:
kivyako Si Baba na mwana hawa ila wote wamekutana kwenye kazi tu,
sharobaro ni mtoto wa mwanamuziki King Kiki mzee wa kitambaa cheupe kama sijakosea.

Asante sana mkuu manuu kwa ufahamisho.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…