King Mswati II akamata kichud mwingine

KUmbe binti yake kweli!!!! Do lakini kifua wazi mbele ya baba! Wakaka wa JF mpa hapo?
Ni Waswaziland wale si watanzania. Tuna tamaduni tofauti na hii si ajabu maana kila taifa na kabila lina utamaduni unaolitambulisha dhidi ya mataifa/makabila mengine. Inawezekana baadhi ya mambo katika tamaduni fulani yakawa kero kwenu kama mambo ya kwenu yalivyo kero kwao maana sumu inayoweza kukuua wewe inaweza kuwa dawa muhimu kwa mwingine. Si vema kuukosoa utamaduni wa wengine usiotuhusu ili mradi wao pia hawaukosoi wenu.
Yaelekea wachangiaji wengi humu wana inda na jinsi Mfalme "anavyofaidi" totos, nasema ni wivu tu maana pengine nafasi hiyo wangeipata wao ingekuwa kiama! Anyway, zile zilikuwa sherehe za kifalme zinazomjumuisha Binti yake; kwa waswazi hazina ubaya wowote na ukipenda na wewe nenda kaigize kwenu uwe kioja na ukamalizie maisha yako na Baba Seya. Maana wabongo kwa kuiga bwana... wee acha tu.
 

Maona umekuja kwenye role of the great thinkers. Discusssing ideas. Naomba tuache sasa mambo ya jamaa kufaidi Binti yake.
Tujuze
1) Kw anini mfalme anakuwa na wake wengi?
2) kwa nini Westerners are opposing having more than one wife (but alowing concubines)
 
Hawajasma kua jamaa anamfaidi binti yake, wamesema kua the first idea kua ni mke wake wa mwisho is wrong, the girl is his own daughter, Princess of Swaziland.
Kuhusu hayo maswali hata mimi sina jibu ila nahisi kua
  1. in the Swazi tradition kua na wake wengi ni symbol of power na King anatakiwa kuongeza power yake kila mwaka.
  2. Swali la pili nadhani ni kutokana na Dini ya Kikristo kuitawala serikali na sheria za kizungu kuundwa kwa kuiheshimu dini hiyo. leo hii dini haina nafasi kubwa sana ila sheria zile zime-shape mentality.
 
binti yake huyo. Alikuwa anampiga tafu dingi yake kwenye kupata mke mpya
 
namuonea huruam mke wa kwanza......usikute hajaliwa mzigo miaka sasa
 

I am speachless....this is guy (king) is graduate and he is still holding those ******* tradition?????
He need his head examinesd
 
Wakuu naomba kuuliza swali, msinihukmu. Je, baba mtu kuna hata tetesi kuwa amekula binti?....... I'm just sayin'.
 
Hivi mnajua magari ambayo wake za jamaa wanapewa? It is more than mercedez Benz and BMW ya kikwete. Mwenye data atujuze.
 
Mwache ale maisha, yeye si mfalme bwana au vipi.
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…