Elections 2015 King of De Docta Ignorantia: Hatuwezi kumpa FISI ulinzi wa BUCHA

Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa.... :wacko:

Juliana Shonza
Hakuna mtu kuomba poo hapa.... Ni kuweka fact mezani... I will only potezea mtu kama fact ataziweka mezani na zitajadiliwa kwa mtazamo sahihi.... Hata uboe vipi, kama kuboa ni kwa fact I will shut my mouth up..!! lakini kwa mbwembwe na michezo ya maneno Nooooo.....

Magufuli aliwahi kusema serikali yake mawaziri hawatakuwa wa kuchakata kama ni kuchakata wakachakatie nje ya uwazili... Sasa umemsikia alipokuwa anairudia ahadi ya Meli aliyoitoa JK..??? Kakubali MCHAKATO wa meli.. kwamba sasa mawazili watachakatia ndani ya serikali yake... KIFUPI KASHAANZA KUYAKANA MANENO YAKE ... No way.... KURA YANGU YA NOOOOOO LAZIMA AHUSIKE NAYO


 
The best dressed lie fro shonza! Hata form two nadhani alivuka kwa vibomu ha ha ha ha
 
Mhhhh ndugu yangu walimu wako wana kazi ngumu sana...no wonder karibuni utapewa uongozi BAVICHA.
 
Leo TWAWEZA watatoa utafiti wao.. ambayo inaongozwa na miriam sarungi baada ya hapo siku zijazo REDET watatoa zao lkn nawaombeni mjue ni kwann JANUARY alitangaza asilimia zile,,,ule ulikuwa ni mpango ambao kwss utafuatiwa na TWAWEZA, halafu REDET yote yaki pendelea CCM na kutengeneza mazingira ya kuiba kura maana hawana namna nyingine. Kutokana hali hyo nawaombeni ndugu zangu msiwe na wasiwasi ppt ulipo endelea kupigana
Taarifa za uhakika nilizopata CCM imeandaa utafiti feki kupitia Twaweza....watasema Magufuli ana asilimia 68% na Lowassa 22%

Ripoti halali wanayo ya Lowassa kuongoza lakini watatoa ripoti Feki.

Kwa huu muda wa asubuhi mpaka saa 4 pigeni kelele kupitia njia mbalimbali kulaani ushenzi huu.Tumieni JF,FB,tweeter,Instagram nk...
 
Mhhhh ndugu yangu walimu wako wana kazi ngumu sana...no wonder karibuni utapewa uongozi BAVICHA.


Tangu lini mwana CCM aende kuwa kiongozi BAVICHA? No way, not a way. I am just trying to think out of the box and call corruption CORRUPTION regardless of who bears the name.

Given what you have written that is what i managed to glean. There is clear evidence ya wizi wa CCM (EPA, ESCROW, RICHMOND, Import support etc etc). Ndani ya CCM kuna baadhi tunapenda kumwita Kenge kwa jina lake halisi Kenge, na Mamba kwa jina lake halisi Mamba, na sio kuzungusha maneno. Tukisema eti chama kisafi hata mtoto atacheka.

Kwa hiyo tukiangalia kwa vyama, no doubt kuwa CCM kiko juu kwenye wizi wa nyama. CDM, CUF, NCCR etc hatujui kwa kuwa hajiwahi kutawala.

Tukiangalia kati wa wagombea wote mmoja mmoja bila kujali vyama vyao, tunaona kuwa Lowassa fisadi CCM tuna ushahidi huo, Magufuli fisadi pia ushahidi upo. Kwa hiyo hawafai kupewa bucha.

Kama point yako ya msingi ni FISI hawezi kuaminiwa kwa ulinzi wa bucha, definitely CCM as part can not be trusted. CDM as the party we do not know yet, since they have not been in a position to loot the country.

lakini kwa wagombea wote wawili sidhani kama kuna anayeweza kuaminiwa kulinda bucha.

If we stand for principles, Chama cha ACT na mgombea wake, wanaqualify zaidi.

Lakini swali ni kwanini the electorate does not seems to be enthusiastic with ACT na mgombea wake? Is it hard kwa walimu wangu kuelewa mantiki yangu? Kwanini Fisadi mmoja afae na mwingine asifae?
 

NA ikiwa Lowassa anaongoza kura za maoni ccm nao wasemeje. mbona cdm wanapenda kila kizuri kiwe upande wao. msiwafundishe Twaweza kazi
 
Dada kama hujala CCM muda uliokuwepo angalau umeliwa na kuolewa so sasa jipange kurudi tena Ukawa maan sasa hivi hakuna jinsi
 
Kwanza yeye siyo mwizi?
Mpaka leo sielewi kaiba nini, hawasemi.
Kama hawajamkamata basi sio mwizi ni propaganda tu za kisiasa. Kama wanang'ang'ania ni mwizi basi ina maana serikali yao ni dhaifu haiwezi kukamata wezi. Chama legelege huzaa serikali legelege. Tuchague ukawa mafisiccm wajulikane na hatua stahiki zichuliwe. Ajenda ya ufisadi ni ya cdm/ukawa, kama kawaida yao ccm hawana ubunifu tena wanakopi kila kitu ukawa na kusema ni cha kwao.
 

NA MIMI NAKUBALIANA NA WEWE KUWA WATANZANIA SIO WAJINGA NA WAMESHATAMBUA KUWA HAKUNA MABADILIKO YA KWELI KUPITIA KWA KIONGOZI MMOJA MMOJA ANAYEONGEA KAMA CHIRIKU, KWA KUWA TUMEJARIBU NJIA HIYO KWA MIAKA 50; SASA WAMEAMUA WANATAKA MABADILIKO YA MFUMO HIVYO ILI KUBADILI MFUMO NI LAZIMA CCM IKAE PEMBENI KWANZA NDIPO KATIBA YENYE MAONI YA WANANCHI IWEZE KUPITISHWA; MAMBO MENGINE YATFUATA.

SASA NAKUHOJI NI MSIMAMO WAKO KUHUSU KATIBA YA TANZANIA, JE UNAPENDELEA ILE YA WARIOBA ILIYOKUWA NA MAONI YA WANANCHI AU ILE YA FISADI PAPA CHANGE ILIYOCHAKACHULIWA NA CCM KWA MASLAHI YAKE?

VIDEO: KINANA na CCM MPYA
 
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.

Karibu Boss, Mheshimiwa saba, Bi Juliana Shonza.

Paskali.
 
Kiukweli nimekubali matokeo, fisi hawezi kukabidhiwa kuilinda bucha yetu na kwenye udiwani, nimeshuhudia!.

Asante mama, (sio nakuzeesha bali sisi Wasukuma, kwa heshima ya mwanamke, kila mwanamke tunamuita mama!).

Paskali
 
Dada yetu Mhe. sana, huu sasa ni wakati wa kumuomba msamaha Lowassa kumuita fisi, bosi wako amempongeza na kumuita superman.
Kutukuna waliokuzidi umri sio heshima, kama hata rais Magufuli anamheshimu Lowassa, who are you?.
P
 
Wanabodi, kwa vile kesho nitakuwa na Waziri wa Habari, Dr. Harrison Mwakyembe tukijadili kuhusu sekta ya Habari, nikipata muda pia nitaulizia kuhusu issue hii ya kihabari, ila na wewe, kama una swali lolote, liulize hapa

Una Swali Lolote kwa Waziri wa Habari, Dk. Harrison Mwakyembe?, Atakuwa Live Star TV, Kuzungumzia Sekta ya Habari na Janga la Corona, Uliza Chochote! - JamiiForums
P.
 
Wee Pasco acha kutuharibia jukwaa. Ningekuona wa maana kama ungemuita Ummy kesho tumtwange hoja na maswali achanganyikiwe. Sasa sisi huyo Mwakiembe atusaidie nini? Huoni kama nchi kwa sasa tuna ajenda gani? Usituchafulie jukwaa kwa kufufua mada zisizoeleweka please!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…