King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Dogo anasumbua sana instagram kwa nyodo nyingi sana kwamba yeye hakuna wa kumfikia bongo kwa jeuri ya hela. kwa anayemjua vizuri huyu billionea atujulishe na sisi ili tu jifunze kutoka kwake jinsi ya kupata pesa.

haa
 

Attachments

  • IMG_1098.PNG
    165.7 KB · Views: 6,295
  • IMG_1109.PNG
    172.4 KB · Views: 10,641
naona unamuongezea idadi ya follower tu...
 
Hicho kifua sijakielewaaa...ana manyonyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…