TV yoyote ile inakubali kiongoziEbu fafanua kidgooo ikiwezekana tuwekee televishen gani ukiwa nacho unaweza ukazipata na pia fafanua unaposema akitumii malipo ila kinatumia bando ya nini tigo airtell halotel au voda.na je tunapataje na sh ngap tuwlezeee kidogooo mkuu maana na mimi nilikuwa.natafuta kingamuz