Mbona rahisi tu!Shida ni jinsi ya kulipia,watafute mfumo rafiki wa malipo ya bundle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona rahisi tu!Shida ni jinsi ya kulipia,watafute mfumo rafiki wa malipo ya bundle
Ni kitambo kweli, Nina DStv mkuuMkuu,japo ni mda,ila kila kampuni ina mazuri yake. Kila aina ya entertainment unayoona Azam,Dstv,..... vipo vya kutosha. Advantage kubwa ukilinganisha na wengine, ni mipira. Mechi nyingi,kwa bei nafuu.
Harafu,lugha labda ndo iwe tatizo,ila kwenye mpira,hasa wachezaji na gemu lenyewe ndo huvutia watu.
DSTV, labda mazoea tu,ila haiifikii Canal+.Ni kitambo kweli, Nina DStv mkuu
👉Halafu Nina mzigo was movies na series za kutisha.
Sema Kuna king'amuzi kiko vizuri, kina channel Kaka z cinema, star gold, hbo, Sony max, Paramount, dah
👉Siki kumbuki jina
Star gold ehh??DSTV, labda mazoea tu,ila haiifikii Canal+.
Vipo ving'amuzi vya star,niliwahi kiona
Utakapoviona vya hivi, ukichunguza,utapata mamboStar gold ehh??
Vina Bei gani hivi??, List ya channel?Utakapoviona vya hivi, ukichunguza,utapata mambo