King'amuzi cha kileleni feki...

hhahahaaa,wacha nichekeee ruta wewe? haya sasa unataka niseme uongo?

wahida niseme nini yaani kwanini unakwepa kufunguka nikajua kilichoko moyoni kwako?
 
Last edited by a moderator:
hhahahaaa,wacha nichekeee ruta wewe? haya sasa unataka niseme uongo?
[MENTION]
wahida[/MENTION] niseme nini yaani kwanini unakwepa kufunguka nikajua kilichoko moyoni kwako?
 
Samahani mkuu japo nimechelewa kuchangia lakini naona hii mada imewalenga wageni wa kunako tasnia hii. Ni mtazamo tu.

tasnia ipi?[MENTION] Mulama[/MENTION]
 

kipya kinyemi ingawa kidonda.......Rubuye123
 
Last edited by a moderator:
[MENTION]
Rubuye123[/MENTION] hapo umelonga.................asiporidhika inakufanya ujione una mapungufu na kuanza kumtafuta mchawi kama kwenye penis enlargement au viagra
 
mwanamke akifika kileleni anamwaga maji kny uke na pia unasikia vibration kny uke wakati anatoa hayo maji,,hayo mengine mnayoyataja humu sio kabisaaa,inaonyesha nlivyo inexperienced wote....kila mtu anabehave anavyojisikia aftrer tendo...kusema ni kiashiria kuwa alifake.....ni kupotoshana,ukijua kumfikisha mtu kileleni thats what matters na sio kutojiamini kama ukisifiwa labda umedanganywa,i hate mwanaume asiyejiamini.:boxing::boxing:
 
naona Mr Rocky uko njiani kwenye hii tasnia.......nimependa mtiririko wako.................lakini usisaha..mgema ukimsifia tembo hulitia maji........

Mkuu kusema yalo moyoni yapaswa uwe na kiasi
Kuyasema yaliyojificha yapaswa uwe na moyo
Kupenda twapenda sana matokeo yake twajisahau
Kusifiwa kwa mgema ni raha
Ila sifa zisizidi mfanowe

Asante kwa sifa zako kuu
Ila kujikweza kwangu ni ngumu
Nitaishia kuzipokea sifa zako kuu
Bila kupoteza umakini wangu
 




Hahahahahaaa... Mnapenda sana Kugongana nyie watu... Ila RUTA si unajua Kabila lao wanasifika Kwa..................

It was really nice... Thanx alot majamaa
 

Jestina wewe sungura mjanja sana...unatumia mbinu ya kutuponda ili tusiendelee kuwachunguza kama huwa mnafika mtakao au la....smart gal...........lakini hatudanganyiki safari hii.....LOL
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaa... Mnapenda sana Kugongana nyie watu... Ila RUTA si unajua Kabila lao wanasifika Kwa..................

It was really nice... Thanx alot majamaa

Ni kweli Questt lakini huoni ni muhimu kuwa na king'amuzi cha kujua kama kazi umeipatia au la...ili ujipange upya pale uonapo kuna mapungufu..............
 
Last edited by a moderator:
Asante for the avatar. Kuhusu kiu baada ya match mi nilikua sijawahi sikia hiyo habari... Na sioni connection.

you are damn right.......RussianRoulette........there is no connection at all.......am still obssesed with your avatar it reminds me of a movie "Fatal attraction"...................nikichanganya na hiyo user name.....................am scared of things you may be capable of..............
 
Last edited by a moderator:

Mr Rocky.................wewe una busara sana.............humble yourself before God and he will exalt you above your nemesis................and admirers as well.....smart move, man
 
Last edited by a moderator:
makelele feki mbona utayajua tu.....akiona hushuki atakwambia ukojoe loh!!!!!

BADILI TABIA .........hilo mbona jepesi...............si unamwambia aanze yeye na wewe utafuata nyayo tu............kwani iko shida gani?
 
Last edited by a moderator:
ntawaambia kipimo chake, ni kidogo mno.
Hakidanganyi wala nini, si makelele wala macho mekundu
si kuomba maji ya kunywa wala kuomba gazeti
si kusinzia wala kuzubaa
uache upanga alani mwake hata kwa dakika
kuna lugha upanga na ala huongea pamoja
basi hapo hapo ujue umemaliza mchezo

Ila hapa si pana watoto?
 
hehehee ,yaan leo kazi mm naseema kweli tu ,kwan mkweli mpenzi wa mungu,, bado niponipo kwanza ,,
rubuye hapa sidanganyi mm:A S thumbs_down:

we mwanamke wewe,uroongo kwamrembo kama wewe hata hupendezi ujue!!haya hebu sema kwanini huwa una-fake kufika kibo mama,upesi kabla 'sijakuchapa!!'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…