wengi wanatapeliwa mambo ya pm sababu wengine awana uelewa wa kutosha wanaingia kichwa kichwa,na wanaofanya biashara wanaona wakiweka kila kitu kuna wajanja kama mimi,tutashtuka na kuwashtua wengine,biashara ya dunia ya sasa kila kitu kiko wazi,unaweka picha ya bidhaa yako,bei,mahali unapopatikana,namba ya simu etc