King'amuzi kwa bei chee......ni pm ujipatie kwa bei rahisi

King'amuzi kwa bei chee......ni pm ujipatie kwa bei rahisi

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
434
Vipo vichache sana km upo tayari nione sasa.......ni vya star times utauziwa kwa bei ya kimtaa,cyo vya wizi vipo ktk hali nzuri
 
Weka bei mkuu, nahitaji viwili, cha nyumbani na cha nyumba ndogo!
 
sasa wewe biashara yako alafu untupatia kazi ya kuku-pm?? maajabu!!
weka bei hapa! na useme unapatkana wapi pia
 
Vitakuwa vya mchina hivyo
 
wengi wanatapeliwa mambo ya pm sababu wengine awana uelewa wa kutosha wanaingia kichwa kichwa,na wanaofanya biashara wanaona wakiweka kila kitu kuna wajanja kama mimi,tutashtuka na kuwashtua wengine,biashara ya dunia ya sasa kila kitu kiko wazi,unaweka picha ya bidhaa yako,bei,mahali unapopatikana,namba ya simu etc
 
Kimebaki kimoja tu...km unahitaji andaa elfu 30.............unakuja kuchukua hom kikiwa kinaoperate kabisa,,,,nauza coz nimeshindwa kuaford gharama ya antena njoo faster ubebe star times
 
Back
Top Bottom