Napenda kuwashukuru wadau wooooote kwa ushauri wenu... Nimechagua DSTV na nimeshaongea nao soon watakuja niunganishia... Shukrani za dhati zimuendee my lovely daddy watu8 na wengine woooote..... MBARIKIWE SAAANA
shukrani daughter...
you have opted for the best package of em all...
cheers!!
fanya haraka ninunulie Dstv
The only built in so far ni zile wanauza Starmedia(Hii itakuwezesha kuangalia packages za Startimes tu), otherwise hakuna product kama hiyo sokono.
King'amuzi ni lazima kaka kwa reception ya Terrestial au kwa huwa we ni bepari la Kihaya unaweza kuopt DSTV au Zuku ambao wao hutumia Satellite
This is so unfair kwa mtanzania wa kawaida,kununua ka tv tu tena ka mtumba shughuli,sasa aongezee na king'amuzi juu na malipo ya kila mwezi?
Hapo ni utata sio siri...ila ndio maamuzi ya "Tume ya Kimataifa ya Mawasiliano (ITU)" kuwa ifikapo mwaka 2015, nchi zote duniani ziwe zimehamia kwenye mfumo wa Digitali katika urushaji wa matangazo....
Sasa ni wajibu wa Serikali yetu kupunguza kodi kwenye Ving'amuzi na Televisheni ili kuleta uhaueni kwa Wamatumbi
Mi natumia zuku lakini mvua ikinyesha tu signal hupotea kabisa,tatizo linaweza kuwa hiyo terrestrial technology?nadhani ni teknolojia ya terrestial ndio ina mushkeli ndugu...urushaji na udakaji matangazo katika mfumo huu huweza kuathiriwa na hali ya hewa sana mvua
Mkuu hapo kwenye red naomba unieleweshe kama hutojali.utaendelea kulitumia kama kawaida na kukamata hizo channels unazokamata, maana zenyewe ni FTA channels....
charminglady niaje mtu wangu? Nakushauri uchukue Dstv hakuna chenga wala mchelemchele, sembuse mchichamchicha..
startimes ni janga la kitaifa
Shost Kipipi nshanunua king'amuzi cha dstv njoo sasa!!!!!!
Hapo ni utata sio siri...ila ndio maamuzi ya "Tume ya Kimataifa ya Mawasiliano (ITU)" kuwa ifikapo mwaka 2015, nchi zote duniani ziwe zimehamia kwenye mfumo wa Digitali katika urushaji wa matangazo....
Sasa ni wajibu wa Serikali yetu kupunguza kodi kwenye Ving'amuzi na Televisheni ili kuleta uhaueni kwa Wamatumbi
Kwa hiyo haya madishi ya kawaida ndo kushneh?
Heheh krismas kumbe tunasherehekea vingi, naja!
Upoo??Ujio wa visimbuzi ndo ulijadiliwa hivi kumbe[emoji38][emoji38][emoji38]