Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaAnatafuta ugali jamani tusimaind
Kamvuta chezeyaa uji wa chumvi wewe...Huyo pembeni mi Muhogo Mchungu au?
hahahahahaaaHuyo pembeni mi Muhogo Mchungu au?
Ukitoa taarifa JF ndio unakuwa mwandishi?Wewe zumbukuku uwe na mawe ya kutishia CCM?kwani wewe ulivyoandika hapa jf huu utumbo wako umeajiriwa ? inawezekana ukawa na chuki na mimi kwa sababu ya mawe kabambe ninayoipa ccm na mamluki wake , lakini ni vema ukatafuta sababu za maana zaidi ili kunishambulia
Unatafuta ligi za kijinga , wajinga wenzio wako ignore list unafuatia weweUkitoa taarifa JF ndio unakuwa mwandishi?Wewe zumbukuku uwe na mawe ya kutishia CCM?
Chungu kwenye maji ya kifuu utishie CCM?
Chawa wa Sugu niwe na chuki na wewe.Kinachoshangaza ni ujiko unaojipa na uwezo mdogo wa kujieleza ulionao.
Nje ya Ugumu wa Maisha aliyonayo kama Mimi GENTAMYCINE, ila anapenda sana kama si mno kupiga Mpepe / Puje / Kijiti / Udi Karaha / Sigara Bwege / Pombe yenye Moshi Sifa ambayo 99% ya Majirani zake huko Mbagala wanaijua.Kingwendu mbona kafubaa hivyo
Wewe mjinga unitishie mimi?Ignore list my foot.Ukileta ujinga utajibiwa mpaka ulete sahali.Unatafuta ligi za kijinga , wajinga wenzio wako ignore list unafuatia wewe
Ndiyo maana karudi CCM angalau apate za kampeniKingwendu mbona kafubaa hivyo
KabisaHajapata sukari mwezi wa tatu huu.Anajaribu kama atapewa asali kule CCM.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwanachama wa CUF na Mgombea Ubunge wa Chama hicho , Kingwendu , leo ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga na ccm
View attachment 2895412View attachment 2895414
Pichani:Mwanachama wa CUF na Mgombea Ubunge wa Chama hicho , Kingwendu , leo ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga na ccm
View attachment 2895412View attachment 2895414