Kingwendu ahamia CCM

Kingwendu ahamia CCM

kwani wewe ulivyoandika hapa jf huu utumbo wako umeajiriwa ? inawezekana ukawa na chuki na mimi kwa sababu ya mawe kabambe ninayoipa ccm na mamluki wake , lakini ni vema ukatafuta sababu za maana zaidi ili kunishambulia
Ukitoa taarifa JF ndio unakuwa mwandishi?Wewe zumbukuku uwe na mawe ya kutishia CCM?
Chungu kwenye maji ya kifuu utishie CCM?
Chawa wa Sugu niwe na chuki na wewe.Kinachoshangaza ni ujiko unaojipa na uwezo mdogo wa kujieleza ulionao.
 
Ukitoa taarifa JF ndio unakuwa mwandishi?Wewe zumbukuku uwe na mawe ya kutishia CCM?
Chungu kwenye maji ya kifuu utishie CCM?
Chawa wa Sugu niwe na chuki na wewe.Kinachoshangaza ni ujiko unaojipa na uwezo mdogo wa kujieleza ulionao.
Unatafuta ligi za kijinga , wajinga wenzio wako ignore list unafuatia wewe
 
Hili Taifa limejaa Vingwendu kila Watanzania 10 wenye kujielewa ni 3 Saba ni Vingwendu.

Ndio maana Kinjekitile Ngwale aliwapiga Fixi Vingwendu wakajaa kwenye Magobore ya Mjerumani.
 
Njaa mbaya, madiwani wa Chadema kule Arumeru walinunuliwa na Mnyeti kwa milioni mbili mbili sasa 'Ngendulila' atapewa ngapi
 
Back
Top Bottom