Jana nikiwa katika pitapita zangu mitaa ya uswazi kule tandale anapotokea msanii bora kabisa kuwahi kutokea Africa na mwenye uwezo mkubwa wa kuimba na kupiga vyombo mr dangote nilkutana na story moja ya motomoto saaaana.
Ni kwamba yule kijana mnyoa kipara ambaye inasemekana ndiye atakuwa Prezidaa wa tano wa ka nchi cha TZ atamteua Kingwendu ngwendulile kuwa waziri wa wizara mpya ya burudani ambayo itaundwa 2015
kwa wale ambao hamjui ni kwamba Ngwendulile atagombea ubunge kupitia CCm na vigogo kibao wako nyuma yake
okay then, iam out for now
Tnx kwa taarifa maatope..
Naskia naskia na Maneke Sanga yeye ndiye atapewa wizara ya mahusiano jinsia na watoto
Ruge atapewa wizara ya habari utamaduni na michezoTnx kwa taarifa maatope..
Naskia naskia na Maneke Sanga yeye ndiye atapewa wizara ya mahusiano jinsia na watoto
Tnx kwa taarifa maatope..
Naskia naskia na Maneke Sanga yeye ndiye atapewa wizara ya mahusiano jinsia na watoto
wazzup
hi mpendwa..swaumu ya leo kali sana au?
Jana nikiwa katika pitapita zangu mitaa ya uswazi kule tandale anapotokea msanii bora kabisa kuwahi kutokea Africa na mwenye uwezo mkubwa wa kuimba na kupiga vyombo mr dangote nilkutana na story moja ya motomoto saaaana.
Ni kwamba yule kijana mnyoa kipara ambaye inasemekana ndiye atakuwa Prezidaa wa tano wa ka nchi cha TZ atamteua Kingwendu ngwendulile kuwa waziri wa wizara mpya ya burudani ambayo itaundwa 2015
kwa wale ambao hamjui ni kwamba Ngwendulile atagombea ubunge kupitia CCm na vigogo kibao wako nyuma yake
okay then, iam out for now
Maatope akiwa kazini.
attention seeker...!
Ana chembechembe za kama marehemu Gogle.
good evening sir