maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,422
- 957
Jana nikiwa katika pitapita zangu mitaa ya uswazi kule tandale anapotokea msanii bora kabisa kuwahi kutokea Africa na mwenye uwezo mkubwa wa kuimba na kupiga vyombo mr dangote nilkutana na story moja ya motomoto saaaana.
Ni kwamba yule kijana mnyoa kipara ambaye inasemekana ndiye atakuwa Prezidaa wa tano wa ka nchi cha TZ atamteua Kingwendu ngwendulile kuwa waziri wa wizara mpya ya burudani ambayo itaundwa 2015
kwa wale ambao hamjui ni kwamba Ngwendulile atagombea ubunge kupitia CCm na vigogo kibao wako nyuma yake
okay then, iam out for now
Ni kwamba yule kijana mnyoa kipara ambaye inasemekana ndiye atakuwa Prezidaa wa tano wa ka nchi cha TZ atamteua Kingwendu ngwendulile kuwa waziri wa wizara mpya ya burudani ambayo itaundwa 2015
kwa wale ambao hamjui ni kwamba Ngwendulile atagombea ubunge kupitia CCm na vigogo kibao wako nyuma yake
okay then, iam out for now