Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Msanii wa vichekesho, Kingwendu amesema alikurupuka kugombea ubunge na kubakiwa na madeni mengi hali iliyomsababishia kukaa kimya ili kushughulikia madeni hayo, alitakiwa awe na mdhamini.
Pia msanii huyo amesema alienda Ujerumani sio kwa sababu ya hela alizohongwa ili auze ubunge bali ilikuwa mpango wa muda mrefu kabla ya kugombea ubunge
Pia msanii huyo amesema alienda Ujerumani sio kwa sababu ya hela alizohongwa ili auze ubunge bali ilikuwa mpango wa muda mrefu kabla ya kugombea ubunge