Kingwendu nusura aukwae Ubunge 2015

Kingwendu nusura aukwae Ubunge 2015

744c73ab-c026-4df1-9249-debc0aa56746.jpg
 
Kwenye moja ya mahojiano anadai alishawahi kufanya Kazi TBL
Namfahamu vizuri. Aliyefanya kazi TBL ni kaka yake Muddy Sume alikuwa na mguu wa kilema. Yeye Kingwendu hakuwa mwajiriwa wa TBL bali alikuwa ni mmoja wa vijana wanaoshinda karibu na Magomeni Depot, kwa hiyo Lori la bia likifika kama hakuna wafanyakazi wa TBL wa kuteremsha basi wanaitwa kama vibarua na wanalipwa immediately. Kingwendu hajasoma shule kabisa, asingeweza kuajiriwa TBL
 
Namfahamu vizuri. Aliyefanya kazi TBL ni kaka yake Muddy Sume alikuwa na mguu wa kilema. Yeye Kingwendu hakuwa mwajiriwa wa TBL bali alikuwa ni mmoja wa vijana wanaoshinda karibu na Magomeni Depot, kwa hiyo Lori la bia likifika kama hakuna wafanyakazi wa TBL wa kuteremsha basi wanaitwa kama vibarua na wanalipwa immediately. Kingwendu hajasoma shule kabisa, asingeweza kuajiriwa TBL
Kumbe ngumbaru mwenzetu?
 
Back
Top Bottom