Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣2015 ilikua tamu Ila 2020 ilipitiliza. Ba mkwe kazima mpaka internet
Watanzania wanapenda sana mizaha 😆😆😆iza
Wanatakiwa Akina ndioooo ili wasilete shida !!Mwaka 2015 pasipo namna-namna Kingwendu angewakilisha wananchi wa KISARAWE kupitia CUF, mtifuano ulikua mkali haswa. NB: Tofaut na Babutale (aliye pita bila Kupingwa) huyu Kingwendu alipambana mpaka mwisho.
View attachment 2488610View attachment 2488618
Zee la hovyo2015 ilikua tamu Ila 2020 ilipitiliza. Ba mkwe kazima mpaka internet
Nasikia ana Diploma ya UhasibuKingwendu usimlinganishe na Taletale. Kingwendu is far better
Namfahamu vizuri. Aliyefanya kazi TBL ni kaka yake Muddy Sume alikuwa na mguu wa kilema. Yeye Kingwendu hakuwa mwajiriwa wa TBL bali alikuwa ni mmoja wa vijana wanaoshinda karibu na Magomeni Depot, kwa hiyo Lori la bia likifika kama hakuna wafanyakazi wa TBL wa kuteremsha basi wanaitwa kama vibarua na wanalipwa immediately. Kingwendu hajasoma shule kabisa, asingeweza kuajiriwa TBLKwenye moja ya mahojiano anadai alishawahi kufanya Kazi TBL
2015 ukawa wakaona ndiye anastahili kuwa mbunge wetu! These people are not serious.Kingwendu hajasoma shule kabisa, asingeweza kuajiriwa TBL
Kuna tofauti gani kati ya Kingwendu na Musukuma?Kwamba ndiye mgombea bora tuliyeletewa na kilichoitwa ukawa!
Kumbe ngumbaru mwenzetu?Namfahamu vizuri. Aliyefanya kazi TBL ni kaka yake Muddy Sume alikuwa na mguu wa kilema. Yeye Kingwendu hakuwa mwajiriwa wa TBL bali alikuwa ni mmoja wa vijana wanaoshinda karibu na Magomeni Depot, kwa hiyo Lori la bia likifika kama hakuna wafanyakazi wa TBL wa kuteremsha basi wanaitwa kama vibarua na wanalipwa immediately. Kingwendu hajasoma shule kabisa, asingeweza kuajiriwa TBL
Ila CCM kwa babutale ndo wako serious?2015 ukawa wakaona ndiye anastahili kuwa mbunge wetu! These people are not serious.
Tulitaraji hawa wangekuwa tofauti na ccm; kama wanafanana kuna haja gani ya kuitoa ccm?!Ila CCM kwa babutale ndo wako serious?