Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Weusi wanajisemea "Iko Mambo" 🤔Yaan acha tu,ila nadhan kuna kitu aisee
hivi nikienda kuchkua mwili wake kama ndugu hapo police itakuajeKuna mengi ya kujadili hapa[emoji116]View attachment 1907954View attachment 1907955
Hii misomali si ya kupokea wala kuendekeza. Afadhali limetowekaKuna mengi ya kujadili hapa[emoji116]View attachment 1907954View attachment 1907955
Zile risasi za makalioni Ni woga mkuu..Nilichojifunza katika tukio hili ni kwamba katika mapambano halisi ya kurushiana risasi kati ya polisi na mhalifu, polisi ndio wanaouawa kwa wingi.
Imagine huyo ni mhalifu mmoja na polisi wengi, lakini wamekufa polisi watatu. Na tena wala huyo mhalifu hakufanya jitihada zozote za kutoroka, nina wasiwasi angekusudia kutoroka pengine angeweza. Labda na mwenyewe alitaka kujifia tu, ona alivyojileta kama easy target katikati ya shooters wengi.
Huwa inatokeaje siku nyingine tunapopewa taarifa na polisi kuwa wameua majambazi matano katika mapambano pasipo hata polisi mmoja kujehuruhiwa?
Nimeona kwenye hiyo clip polisi wakimiminia maiti risasi nyingi za makalioni. Nikashangaa tu.
Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Yani polisi wetu ni wanyonge sana wanapokutana na changamoto halisi zinazohitaji umahiri wa medani.Zile risasi za makalioni Ni woga mkuu..
Polisi ni wadhulumaji,unakumbuka wafanyabiashara wa madini toka mahenge walichofanyiwa na akina Zombe?
We kweli hamnazo,, hivi picha ya yesu we unaijua wewe?Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic.
========
Mtu mmoja ambaye alionekana kufyatua risasi karibu na Ubalozi wa Ufaransa Jijini Dar es Salaam amedhibitiwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, (IGP) Simon Sirro amethibitisha kuuawa kwa askari wawili kwenye mapambano ya kurushiana risasi yaliyotokea eneo la Daraja la Salenda jirani na Ubalozi wa Ufaransa, Dar es Salaam.
Tukio hilo limetokea leo Jumatano Agosti 25, 2021 baada ya mtu mmoja ambaye hajafahamika kuzua taharuki baada ya kufyatua hewani risasi huku akisikika akisema kuwa anawatafuta polisi.
Akizungumza katika kikao kazi cha maofisa wa polisi, Sirro amesema mtu huyo naye ameuawa kwa kupigwa risasi.
“Mmeziona clip zinaruka sasa hivi akaingia barabara kubwa akawa anatamba na SMG na yeye amepigwa risasi na askari wetu hivyo, askari wetu wamefariki na yeye amefariki” amesema IGP Sirro.
Ameeleza kuwa wanaendelea kufuatilia kufahamu mtu huyo ametokea wapi na baadaye watatoa taarifa kamili.
IGP Sirro amenukuliwa kupitia kipande cha video kilichorushwa kwenye mtandao wa kijamii wa Wasafi Fm.
PIA SOMA:
1. Mashuhuda wasimulia tukio la aliyekuwa akipiga risasi
UPDATE: Waliouawa ni Polisi Watatu na Mlinzi mmoja, wengine sita wajeruhiwa.
Jeshi la Polisi limesema idadi ya Watu waliouwawa na Mtu mwenye Bunduki aliekua akifyetua risasi ovyo karibu na Ubalozi wa Ufaransa Dar es salaam ni Watu wanne huku kati yao Watatu wakiwa ni Polisi na mmoja ni Mlinzi wa Kampuni binafsi ya ulinzi.
"Leo August 25 2021 tumekutwa na tukio baya kabisa, tukio la kihalifu ambalo limepoteza maisha ya Watu wanne na watatu kati yao ni Askari Polisi, limetokea katika makutano ya barabara ya Kenyatta na Kinondoni Askari wetu walikua kazini akatokea Mtu akawashambulia kwa Bastola na alipowashambulia na kuanguka alichukua Bunduki za Askari hao na kuanza kurusha risasi ovyo kuelekea Ubalozi wa Ufaransa"
"Ukiachia Watu wanne waliouwawa leo tuna Watu 6 ambao wamejeruhiwa kwenye tukio hili na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, taarifa zaidi tutaendelea kupeana kadri muda unavyokwenda, ni mapema sana kubaini kwanini alifanya vile lakini tumeshaanzisha Timu ya upelelezi na muda sio mrefu tutakamilisha"
"Kuhusu baadhi ya video kusema kwamba huyu Mtu ni Mkazi wa Upanga sisi hatuthibitishi mambo kupitia clips za video, tunathibitisha mambo kupitia upelelezi kwahiyo upelelezi ndio utakaoeleza, kuhusu swali la Waandishi kuhusu kuwepo kwa dalili zozote za ugaidi kwenye tukio la leo hatuwezi kusema chochote hii ni mapema lakini uchunguzi ndio utakaosema kama kuna ugaidi au hakuna ugaidi"
"Kwa sasa hatuwezi kusema amekutwa na kitu gani mfukoni, Polisi bado wapo eneo la tukio... ni mapema sana kusema amekutwa na nini kwasababu Wataalamu wapo kazini, kuhusu kama ni Raia kama sio Raia uchunguzi ndio utasema baada ya upelelezi kukamilika tunachojua sasa huyu ni Muhalifu"
View attachment 1907510
View attachment 1907511
View attachment 1907519
Hii ni developing news…
Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.
[8/25, 7:31 PM] First Born: Alikua anaenda kumuhuzia mtu dhahabu maeneo ya masaki police wakamkamata so wakat wanaenda kituo salander
[8/25, 7:31 PM] First Born: Polisi ndio chanzo aise walitaka kumzulumu
[8/25, 7:31 PM] First Born: Wakaingia chobingo hili wamalizane police wakaleta tamaa yenye akawawahi na sirahara yake ndogo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo anamigodi ya dhahabu kule chunya aliachiwa na baba yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyu dogo nakaa nae mtaa mmoja police ndio wamemzungua madini yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Jana usiku tulikua nae mtaa I aise police ndio wameleta tamaa zao tu
[8/25, 7:31 PM] First Born: No dogo mmoja cool sana
[8/25, 7:31 PM] First Born: Baada ya hapo akachukua hizo 47 ndio kuuza kupiga hivyo huku akisema anataka police
[8/25, 7:31 PM] First Born: Ata cc tunashangaa sana kutokea hivyo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo sio jambazi kabisa yani
[8/25, 7:31 PM] First Born: Inasikitisha sana... Kumbe polisi ndio walisababisha hii shida yote... Uchunguzi wa kina na wauwazi utaitajika...
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Gaidi mmoja ana nguvu sawa na polisi mia wa Tanzania, so Usishangae kwa huyu mmoja kuwatoa jasho hao vijana wa Sirro [emoji38]
nimesikitishwa sana kwa askari wetu wasiokuwa na hatia kuuawa kwenye hilo tukio.Lakini why amechagua kuuawa askari tuu?Huyu jamaa siyo mjinga, kuna ujumbe alikuwa anaufikisha. Vyombo vyetu vya usalama vinabidi kwenda extra miles, wasiishie tu kusema tumemuua.
tupewe bunduki tuwe sawaa, tuwaonyeshe,, yanajua kuvamia wapinzanibongo hatuna askari
Mtu anatembea anajiachia vile
Uyo ni wa risasi moja tu
aman imetuponza
hao jamaa wana visasi balaa.tuombe Mungu wasije lipiza kwa ndgu yao damu kumwagika
Hizo movies zinawadanganya sana, ni mara ngapi polisi wa Marekani wameua raia kwa risasi tena wakati mwimgine kwa majibizano tu ya mdomoni.
Movie na uhalisia ni vitu viwili tofauti kabisa.
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic.
========
Mtu mmoja ambaye alionekana kufyatua risasi karibu na Ubalozi wa Ufaransa Jijini Dar es Salaam amedhibitiwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, (IGP) Simon Sirro amethibitisha kuuawa kwa askari wawili kwenye mapambano ya kurushiana risasi yaliyotokea eneo la Daraja la Salenda jirani na Ubalozi wa Ufaransa, Dar es Salaam.
Tukio hilo limetokea leo Jumatano Agosti 25, 2021 baada ya mtu mmoja ambaye hajafahamika kuzua taharuki baada ya kufyatua hewani risasi huku akisikika akisema kuwa anawatafuta polisi.
Akizungumza katika kikao kazi cha maofisa wa polisi, Sirro amesema mtu huyo naye ameuawa kwa kupigwa risasi.
“Mmeziona clip zinaruka sasa hivi akaingia barabara kubwa akawa anatamba na SMG na yeye amepigwa risasi na askari wetu hivyo, askari wetu wamefariki na yeye amefariki” amesema IGP Sirro.
Ameeleza kuwa wanaendelea kufuatilia kufahamu mtu huyo ametokea wapi na baadaye watatoa taarifa kamili.
IGP Sirro amenukuliwa kupitia kipande cha video kilichorushwa kwenye mtandao wa kijamii wa Wasafi Fm.
PIA SOMA:
1. Mashuhuda wasimulia tukio la aliyekuwa akipiga risasi
UPDATE: Waliouawa ni Polisi Watatu na Mlinzi mmoja, wengine sita wajeruhiwa.
Jeshi la Polisi limesema idadi ya Watu waliouwawa na Mtu mwenye Bunduki aliekua akifyetua risasi ovyo karibu na Ubalozi wa Ufaransa Dar es salaam ni Watu wanne huku kati yao Watatu wakiwa ni Polisi na mmoja ni Mlinzi wa Kampuni binafsi ya ulinzi.
"Leo August 25 2021 tumekutwa na tukio baya kabisa, tukio la kihalifu ambalo limepoteza maisha ya Watu wanne na watatu kati yao ni Askari Polisi, limetokea katika makutano ya barabara ya Kenyatta na Kinondoni Askari wetu walikua kazini akatokea Mtu akawashambulia kwa Bastola na alipowashambulia na kuanguka alichukua Bunduki za Askari hao na kuanza kurusha risasi ovyo kuelekea Ubalozi wa Ufaransa"
"Ukiachia Watu wanne waliouwawa leo tuna Watu 6 ambao wamejeruhiwa kwenye tukio hili na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, taarifa zaidi tutaendelea kupeana kadri muda unavyokwenda, ni mapema sana kubaini kwanini alifanya vile lakini tumeshaanzisha Timu ya upelelezi na muda sio mrefu tutakamilisha"
"Kuhusu baadhi ya video kusema kwamba huyu Mtu ni Mkazi wa Upanga sisi hatuthibitishi mambo kupitia clips za video, tunathibitisha mambo kupitia upelelezi kwahiyo upelelezi ndio utakaoeleza, kuhusu swali la Waandishi kuhusu kuwepo kwa dalili zozote za ugaidi kwenye tukio la leo hatuwezi kusema chochote hii ni mapema lakini uchunguzi ndio utakaosema kama kuna ugaidi au hakuna ugaidi"
"Kwa sasa hatuwezi kusema amekutwa na kitu gani mfukoni, Polisi bado wapo eneo la tukio... ni mapema sana kusema amekutwa na nini kwasababu Wataalamu wapo kazini, kuhusu kama ni Raia kama sio Raia uchunguzi ndio utasema baada ya upelelezi kukamilika tunachojua sasa huyu ni Muhalifu"
View attachment 1907510
View attachment 1907511
View attachment 1907519
Hii ni developing news…
Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.
Na wewe ni lijinga fulani hivi!! Mission gani wakati unambiwa, Dogo alikuwa anaenda kuuza dhahabu, polisi wakataka kumudhulu, happy ndipo kizazaa kilipoanzia!! Dogo akawashambilia polisi na kuchukua bunduki zao!! Kama angekuwa gaidi? Mbona hakulenga ubalozi wa ufaransa!! Mbona hakushambulia raia? Yeye shida yake ilikuwa polis!Hii ni mission, kuna watu walikuwa wanajaribu jeshi na sasa wamepata jibu kuwa jeshi letu kuna sehemu halipo sawa.