Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Gaidi ni gaidi hata km angekuwa anaenda kuuza figo
 
Gaidi ni gaidi huko kuchimba dhahabu ni kuficha uovu
Haya yanatakiwa yarudi somalia yakauane yenyewe
Kuna habari mpya humu tena kuwa jamaa alikuwa mchimbaji wa dhahabu Chunya
Yaani hiyo ndio imenishtua tena ila tuombe ukweli uwekwe wazi kama ilikuwa ni dhulma au
 
Je tutegemee nini au kauli gani kutoka kwa magaidi wenyewe watacomment vipi ktk hili ikitegemewa ni repLica yao hata kama si mmoja wao,
 
Gaidi ni gaidi huko kuchimba dhahabu ni kuficha uovu
Haya yanatakiwa yarudi somalia yakauane yenyewe

Gaidi ni gaidi huko kuchimba dhahabu ni kuficha uovu
Haya yanatakiwa yarudi somalia yakauane yenyewe

Inawezekana hilo pia
Ila Gaidi kaacha kushambulia Ubalozi na wananchi anawaambia ondokeni pia kuongea na yule mtoto na kuwaambia madereva waondoke na magari yao
Ugaidi upo ila hii sio mbinu za kigaidi labda iwe mbinu mpya
Kama ni Gaidi asingeenda kukaa kwenye kibanda cha Ubalozi kujihami

Habari hii nilipoiona nilijua ni ugaidi kwa jinsi ulivyoelezewa na zile picha ila sasa Vumbi limeanza kutulia
Tutayajua mengi zaidi
Gaidi haongei na watu na hatujawahi kuona maana huo mda hana kabisa
 
Natamani wote hapa wangekuwa na akili timamu kama ww kuhusu hili tukio, ila sisi Wabongo tunajifanya wajuaji sana. Umeelezea vyema mno.
 
Inasemekana aliwapora askari walikuwa wamekaa kibandani
Nimeskia shuhuda mmoja alikuwa anaelezea
Global TV

Ova
Duuh!

Askari aliyeporwa ni mzembe kupita kiasi.

Unaporwaje bunduki ya kivita kizembezembe tu.
Waliouawa hawakuwa traffics,ni askari wenye silaha na tena walinyang'anywa silaha.

Waendelee kupambana na wapinzani na Magaidi feki,ila magaidi halisi wakipiga simu pokeeni msikimbie maana wameanza kwa kubeep kwanza.
Kumbuka hizo bunduki amepora hao hao vyombo vya ulinzi.. huo nao huoni ni udhaifu wa hiyo system unaipigia promo?
Ndo kinachosemekana mkuu.. maana inavoonesha jamaa ni kama aliwapora askari hizo bunduki kisha akawashambulia... Hata mimi bado nashangaa kama wewe imekuwaje askari anaporwa bunduki.
Huenda siraha yao ndio imetumika kuwaua. Pengine hata mhalifu hakuwa na siraha yake.
Oya wazee, em tumieni akili hata ndogo tuu. Video za mwanzoni ni ile yupo karibu na daladala na bajaji huku tayari akiwa na silaha akipiga juu sasa kama polisi walinyang'anywa silaha ilikuwaje mpaka yupo pale karibu na daladala hakuna polisi kuja kumshambulia mana alipora silaha.?
Inamaana alienda kupora silaha halafu akaondoka hilo eneo bila tatizo lolote mpaka kufika kule kwenye daladala.?
Zile silaha sijui alizipataje lkn kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kusema polisi waliporwa silaha.
Vitu vingine ni kutumia akili za kuzaliwa tuu wazee
 
Wewe pia ni jinga kubwa, kwahy alivopora silaha akaondoka hilo eneo bila shida yoyote kushambuliwa na polisi.? Hao polisi walioporwa wakamuangalia tuu mpaka anatokomea na kwenda kule kwenye daladala au aliwaua hao police aliowapora silaha.? Bogus
 
Utofauti wa ulichoandika na mm nilichoandika ni kwamba ww umeandika kutokana na kusoma watu walichoandika kwenye mitandao pasipo wewe mwenyewe kujua ni kweli au siyo, mimi nimeandika kutokana na kwamba adui akitaka kukumshambulia ni lazima kwanza ajue udhaifu wako ili awe na uhakika wa kile anachokifanya. Hao watu wako very smart kwenye kazi zao hawawezi kwenda sehemu kushambulia bila kuwa na info zote kuhusu hilo eneo.
 
Wewe pia ni jinga kubwa, kwahy alivopora silaha akaondoka hilo eneo bila shida yoyote kushambuliwa na polisi.? Hao polisi walioporwa wakamuangalia tuu mpaka anatokomea na kwenda kule kwenye daladala au aliwaua hao police aliowapora silaha.? Bogus
Inavyoonekana aliwaua ndio akazibeba hizo silaha. Jamaa alikua anadeal na askari tu.
 
Daaah, ndio nimeiona aiseee.., daah, halafu alikuwa Kada wa CCM aisee....
Kuna watu mkisikia neno ccm cjui akilini mwenu kunatokea funza wanaanza kula ubongo mpaka mnashindwa kufikiria kwa usahihi. Huyo jamaa wa ccm na huyo aliyeuwawa ni watu wawili tofauti.
 
Inavyoonekana aliwaua ndio akazibeba hizo silaha. Jamaa alikua anadeal na askari tu.
Daah jamaa em tumia akili basi, kwahy jumla ameua polisi wangapi.? Mana pale walipokuwa wanashambuliana aliua jumla wanne sasa em nambie na hao wengine walionyang'anywa silaha walikuwa wangapi na wameuawa wangapi.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…