LGE2024 Kinondoni: Majina ya wapiga kura yameandikwa kiholela

LGE2024 Kinondoni: Majina ya wapiga kura yameandikwa kiholela

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

MeVSMe

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2024
Posts
270
Reaction score
425
IMG_20241127_152606_653.jpg
IMG_20241127_152553_952.jpg
IMG_20241127_152553_952.jpg
Kama tunavofahamu Leo tunapiga kura, na zoezi limeshaanza tayari.
1000039214.jpg

Sasa nimepita hapa Kata ya kinondoni shule ya msingi, wananchi wanalalamika,

Wengine wameondoka kabisa, kwasababu wamekuja kupiga kura hawaoni majina yao,
1000039227.jpg


Wanachosema ni kwamba majina yamerundikana na hayajapangwa Kwa herufi (alphabetically) hii inawafanya washindwe kuona jina.
1000039216.jpg


Viongozi wamedai Hali hiyo imesababishwa na wananchi kutokuja kuhakiki majina.

Pamoja na hayo, inaonekana mwitikio WA wananchi ni mdogo sana, kwani maeneo mengi ya vituo watu ni WA kuhesabika.
1000039251.jpg

IMG_20241127_152542_170.jpg


IMG_20241127_152603_056.jpg


IMG_20241127_152557_963.jpg
 
Watu wengine wameghairi kupiga kura
 
Kama tunavofahamu Leo tunapiga kura, na zoezi limeshaanza tayari.
View attachment 3163166
Sasa nimepita hapa Kata ya kinondoni shule ya msingi, wananchi wanalalamika,

Wengine wameondoka kabisa, kwasababu wamekuja kupiga kura hawaoni majina yao,
View attachment 3163167

Wanachosema ni kwamba majina yamerundikana na hayajapangwa Kwa herufi (alphabetically) hii inawafanya washindwe kuona jina.
View attachment 3163168

Viongozi wamedai Hali hiyo imesababishwa na wananchi kutokuja kuhakiki majina.

Pamoja na hayo, inaonekana mwitikio WA wananchi ni mdogo sana, kwani maeneo mengi ya vituo watu ni WA kuhesabika.
View attachment 3163170


Kumekucha, watu wameshachoka na mboga mbichi za kijani siyo?
 
Daaaa ujinga na uoga wetuu.....tutanyanyaswa sana
 
Tunamshukuru mama kwa kufanikisha hili pia
 
Why, wauwe Sasa😟😟😟😟.

Soon utasikia jeshi la Polisi linakanusha😟😟😟, wallah aliesema siasa ni mchezo mchafu aliona mengi
 
Back
Top Bottom