Pre GE2025 Kinondoni patachimbika! Wanaotaka Ubunge kibao, yumo Iddi Azzan, Tarimba na mjukuu wa Bakhresa

Pre GE2025 Kinondoni patachimbika! Wanaotaka Ubunge kibao, yumo Iddi Azzan, Tarimba na mjukuu wa Bakhresa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Unaambiwa joto la ubunge Kinondoni linazidi kupanda! Wengi wanapanga kurusha karata zao, lakini kwenye mchuano wa wakali, majina yanayotajwa kwa nguvu ni pamoja na mbunge wa zamani Idd Mohamed Azzan anayetaka kurudi bungeni tena, kigogo wa siasa na biashara Tarimba Gulam Abbas, na sasa gumzo kubwa mjukuu wa Bakhresa naye anatajwa kuingia ulingoni!

Sasa maswali ni mengi... Je, huu ni mpambano wa kisiasa au wa mabwanyenye? Kinondoni inasubiri kwa hamu, nani ataibuka kidedea? 👀🔥
 
1741070318034.png
 
Majini Yao yataamua. " Mwenye kisu kikali ndio anaanza kushiba nyama.
Wote hao Wana visu, majini ila mwenye kikali ndiye atatamba.
 
Wakuu

Unaambiwa joto la ubunge Kinondoni linazidi kupanda! Wengi wanapanga kurusha karata zao, lakini kwenye mchuano wa wakali, majina yanayotajwa kwa nguvu ni pamoja na mbunge wa zamani Idd Mohamed Azzan anayetaka kurudi bungeni tena, kigogo wa siasa na biashara Tarimba Gulam Abbas, na sasa gumzo kubwa mjukuu wa Bakhresa naye anatajwa kuingia ulingoni!

Sasa maswali ni mengi... Je, huu ni mpambano wa kisiasa au wa mabwanyenye? Kinondoni inasubiri kwa hamu, nani ataibuka kidedea? 👀🔥
Lakini kumbuka Daudi alimshinda Goliati, huenda akashinda Mayala au moja Kati ya wenye njaa
 
Wakuu

Unaambiwa joto la ubunge Kinondoni linazidi kupanda! Wengi wanapanga kurusha karata zao, lakini kwenye mchuano wa wakali, majina yanayotajwa kwa nguvu ni pamoja na mbunge wa zamani Idd Mohamed Azzan anayetaka kurudi bungeni tena, kigogo wa siasa na biashara Tarimba Gulam Abbas, na sasa gumzo kubwa mjukuu wa Bakhresa naye anatajwa kuingia ulingoni!

Sasa maswali ni mengi... Je, huu ni mpambano wa kisiasa au wa mabwanyenye? Kinondoni inasubiri kwa hamu, nani ataibuka kidedea? 👀🔥
If it's true, then Bakhresa's grandson will spend a lot of money, but he'll never make it to the Parliament—unless President Samia pulls some favoritism tricks like Magufuli did in 2020. His grandfather's money will never help him.
 
If it's true, then Bakhresa's grandson will spend a lot of money, but he'll never make it to the Parliament—unless President Samia pulls some favoritism tricks like Magufuli did in 2020. His grandfather's money will never help him.
You are correct.
The town Kontawas have extra tactics beyond money.
They know a lot about playing with all kinds of challenges and maneuvering.
They also know who is in the system of every process in all phases and how to contact them for confirmation ahead of time.
 
Wakuu

Unaambiwa joto la ubunge Kinondoni linazidi kupanda! Wengi wanapanga kurusha karata zao, lakini kwenye mchuano wa wakali, majina yanayotajwa kwa nguvu ni pamoja na mbunge wa zamani Idd Mohamed Azzan anayetaka kurudi bungeni tena, kigogo wa siasa na biashara Tarimba Gulam Abbas, na sasa gumzo kubwa mjukuu wa Bakhresa naye anatajwa kuingia ulingoni!

Sasa maswali ni mengi... Je, huu ni mpambano wa kisiasa au wa mabwanyenye? Kinondoni inasubiri kwa hamu, nani ataibuka kidedea? 👀🔥
Umemsahau mheshimiwa diwani
 
You are correct.
The town Kontawas have extra tactics beyond money.
They know a lot about playing with all kinds of challenges and maneuvering.
They also know who is in the system of every process in all phases and how to contact them for confirmation ahead of time.
Kwa hio unadhani SSB yeye hajui hizo tactic ?
 
Wakuu

Unaambiwa joto la ubunge Kinondoni linazidi kupanda! Wengi wanapanga kurusha karata zao, lakini kwenye mchuano wa wakali, majina yanayotajwa kwa nguvu ni pamoja na mbunge wa zamani Idd Mohamed Azzan anayetaka kurudi bungeni tena, kigogo wa siasa na biashara Tarimba Gulam Abbas, na sasa gumzo kubwa mjukuu wa Bakhresa naye anatajwa kuingia ulingoni!

Sasa maswali ni mengi... Je, huu ni mpambano wa kisiasa au wa mabwanyenye? Kinondoni inasubiri kwa hamu, nani ataibuka kidedea? 👀🔥
Ukoo wa Bakhresa hauwezi kuingia kwenye takataka
 
Ukoo wa Bakhresa hauwezi kuingia kwenye takataka
Siasa Sio takataka, Daniel Arap Moi Rais wa Pili wa Kenya aliwahi Kumuambia Uhuru Kenyata Kabla hajawa Rais Kuwa Hataki issue za Siasa atalindaje Mali?

The weath is Protected by Politics mana Kwenye Taifa lolote Politicians ndio hierarchy

Hela sio Kitu mbele ya Power
 
Back
Top Bottom