Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanya ukaguzi wa saluni kadhaa zinazotoa huduma mbalimbali, ikiwemo huduma za ‘kusinga’, ili kubaini ikiwa zinafuata taratibu za utoaji huduma. Hadi sasa, wamefunga saluni mbili zinazotoa huduma hizo pamoja na urembo wa ngozi kwa sababu walikuwa wakifanya shughuli hizo kinyume cha sheria.
"Watanzania wanakwenda pale wanapotaka kuwa weupe mwili mzima; wanatundikiwa drip, wanatengeneza sura zao na wanataka kubadilika, si masaji kama ilivyoainishwa. Hawana kibali chochote na hawana utaalam huo." – Dkt. Peter Nsanya
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanya ukaguzi wa saluni kadhaa zinazotoa huduma mbalimbali, ikiwemo huduma za ‘kusinga’, ili kubaini ikiwa zinafuata taratibu za utoaji huduma. Hadi sasa, wamefunga saluni mbili zinazotoa huduma hizo pamoja na urembo wa ngozi kwa sababu walikuwa wakifanya shughuli hizo kinyume cha sheria.
"Watanzania wanakwenda pale wanapotaka kuwa weupe mwili mzima; wanatundikiwa drip, wanatengeneza sura zao na wanataka kubadilika, si masaji kama ilivyoainishwa. Hawana kibali chochote na hawana utaalam huo." – Dkt. Peter Nsanya
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanya ukaguzi wa saluni kadhaa zinazotoa huduma mbalimbali, ikiwemo huduma za ‘kusinga’, ili kubaini ikiwa zinafuata taratibu za utoaji huduma. Hadi sasa, wamefunga saluni mbili zinazotoa huduma hizo pamoja na urembo wa ngozi kwa sababu walikuwa wakifanya shughuli hizo kinyume cha sheria.
"Watanzania wanakwenda pale wanapotaka kuwa weupe mwili mzima; wanatundikiwa drip, wanatengeneza sura zao na wanataka kubadilika, si masaji kama ilivyoainishwa. Hawana kibali chochote na hawana utaalam huo." – Dkt. Peter Nsanya
"Watanzania wanakwenda pale wanapotaka kuwa weupe mwili mzima; wanatundikiwa drip, wanatengeneza sura zao na wanataka kubadilika, si masaji kama ilivyoainishwa. Hawana kibali chochote na hawana utaalam huo." – Dkt. Peter Nsanya
Wacha wale pesa za wajinga wanaojichubua.
Waende sehemu nyingine wakafungue ofisi wapige pesa za wajinga.
Bado wajinga wamejaa tele na pesa wanazo na kudanga wanataka.