Wengine wanaambiwa utapungua uzito uwe binti Mdogo .
Wengine wanasema pia unakuwa mweupe na rangi amazingly.
Tamaa mbaya sana.
Sasa hawajiulizi hadi kwenda kuwa hivyo mwilini kitafanyika nini bila madhara ya vingo vya mwili kiafya?!
Sijui Kwanini hawajiulizi maswali na kiwa suspicious?!