Kinyago walicho chonga clouds media kinawatisha

kitaruo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2018
Posts
200
Reaction score
163
Leo nimepitia baadhi ya post insta, ingawa mm sio mpenz sana wa mtandao huo.

Katika pita zangu nimejikuta naangalia post mbalimbali za diamond. Moja wapo ni show ya namibia. Ukiangalia kwa makin unaona shangwe la mashabiki na jins walivyo mpokea mtanzania huyu.

Sikuishia hapo, nimejikuta nimevutuwa zaid, nikaingia youtube, bwana hee! Show ya ghana, madagaska alitisha. Hapa nikagundua kuwa mziki wetu unakunalika sana nje, sa kwa baadhi ya wasanii haswa diamond.

Sasa bas, kwa staili hiyo, kama clouds wanampango wa kumshusha kimziki wasahau, kama walisha fanya hivyo kwa wasanii wengine sio kwa diamond, ni no nyingine

Bila kukosea clouds walisha mfanyia promo aslay, wakashindwa... lakin walizima, sijui waliona dogo hana mvuto. Hawakuishia hapo, walisha wahi kuwa na kiba day, yote ni kumuumiza diamond.

Nimekuja kugundua kuwa wasaf ndo bongofleva kwa sasa bila wasafi hakuna bongo music. Kwann? Fiesta imekosa mzuka, sio kama kipindi hicho. Nakumbuka msimu wa fiesta ulikua ni holday now day ni hola
Vijana wanasubiria wasafi festiva kwa hamu. Kibaya zaid, wasafi wameanda show had nairobi

Ushaur wangu, cloud kama kunamahali mlimkosea diamond rudin mkamuombe msamaa
 
Zamani ili uweze kuwafikia mashabiki wako lazima utatumia redio na TV na baadhi ya wamiliki walitumia kama fimbo ya kuwachapa wasanii wasio kubaliana nao. Ila siku hizi digital platform na social networking like Insta, fb, Boombplay YouTube nk, vina nguvu kuliko redio na TV na jamaa kaishika haswa na anajua kuitumia. Ndio maana siku hizi hata mbele msanii anaweza akachia album kwa kuposti cover to IG au fb bila ya kufanya media tour na bado album au nyimbo ikafanya vizuri mf Eminem, jay z, Beyonce, j Cole, Childish Gambino mwaka huu wameachia kwa kupitia social media kama njia ya kufanya promo. Kama kipindi kile cha nyuma matumizi ya digital platforms na social networking , zingekuwa na nguvu kama hivi sasa basi naamini, Hip hop ingekuwa bado inasimama na hata hao wasanii wanao baniwa wangekuwa bado wana trend, ila kwa sasa ni ngumu sana kumbania msanii anaye trend ktk social networking na digital platforms.
 
Dawa ni kuzima server za internet tu
 
Nafikiri Cloudsfm wanalitambua hilo. Ndio maana leo Adam Mchomvu kasema Almasi anazidi kung'aa kama jina lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…