Kinyang'anyiro urais TFF: Wallace Karia hakuwahi kuukana uraia wake wa Somalia!

Kinyang'anyiro urais TFF: Wallace Karia hakuwahi kuukana uraia wake wa Somalia!

Kidogo chetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2009
Posts
1,432
Reaction score
992
Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa TFF ,na ambae sasa anawania nafasi ya Urais wa shirikisho hilo Bwana Wallace Karia amewekewa pingamizi dhidi ya uraia wake.Bwana Karia ambae duru za siasa za soka letu zinadai alikuwa ameandliwa na Mamlaka za Serikali kuhakikisha kuwa anakuwa Mrithi wa Bwana Malinzi. swali je ikithibitika kuwa ni kweli yatamkuta yaliyompata meneja mikakati wa aliyekuwa Mgombea wa urais wa UKAWA bwana BASHIR. Yetu Macho.
 
Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa TFF ,na ambae sasa anawania nafasi ya Urais wa shirikisho hilo Bwana Wallace Karia amewekewa pingamizi dhidi ya uraia wake.Bwana Karia ambae duru za siasa za soka letu zinadai alikuwa ameandliwa na Mamlaka za Serikali kuhakikisha kuwa anakuwa Mrithi wa Bwana Malinzi. swali je ikithibitika kuwa ni kweli yatamkuta yaliyompata meneja mikakati wa aliyekuwa Mgombea wa urais wa UKAWA bwana BASHIR. Yetu Macho.
Karia Raia wa Somalia????
 
ivi tunavyojadili hapa mambo yako uhamiaji for proof maana mtia pingamizi anasema Karia alipofika 18 Yrs hakuukana uraia wake wa awali. SOKA la BONGO fitina TUPU
 
Mambo ya bongo yanakatisha tamaa, wengi wetu we do not even know what we want!
 
Hivi Karia si watu wa Mkoa uleee wanaotengwa tengwa na jamaa yuleee.
 
Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa TFF ,na ambae sasa anawania nafasi ya Urais wa shirikisho hilo Bwana Wallace Karia amewekewa pingamizi dhidi ya uraia wake.Bwana Karia ambae duru za siasa za soka letu zinadai alikuwa ameandliwa na Mamlaka za Serikali kuhakikisha kuwa anakuwa Mrithi wa Bwana Malinzi. swali je ikithibitika kuwa ni kweli yatamkuta yaliyompata meneja mikakati wa aliyekuwa Mgombea wa urais wa UKAWA bwana BASHIR. Yetu Macho.
Ukitaka watu wakuchokonoe basi chukua fomu ugombee nafasi yoyote ile yenye kinyang'anyiro.

Hadi uchaguzi huu ukamilike, tutayasikia mengi!!!
 
Hivi Karia si watu wa Mkoa uleee wanaotengwa tengwa na jamaa yuleee.
Ni Karia siyo Kiria, huko kuna Karia?

Huyu Karia alisha wahi kuwa DED wa pande hizo lakini....
 
Let's focus on our future football development !
Piga chini wazandiki wote
 
Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa TFF ,na ambae sasa anawania nafasi ya Urais wa shirikisho hilo Bwana Wallace Karia amewekewa pingamizi dhidi ya uraia wake.Bwana Karia ambae duru za siasa za soka letu zinadai alikuwa ameandliwa na Mamlaka za Serikali kuhakikisha kuwa anakuwa Mrithi wa Bwana Malinzi. swali je ikithibitika kuwa ni kweli yatamkuta yaliyompata meneja mikakati wa aliyekuwa Mgombea wa urais wa UKAWA bwana BASHIR. Yetu Macho.
Ndugu kama ulichoandika n kweli basi atakuwa Raisi tu..

Kukana ama lah n statement yankaratasi moja toka uhamiaji. Kama ndie mtarajiwa nadhani afisa wa uhamiaji ayuko juu ya mamlaka jibu litatoka alishaukana usomalia kazi kwishna
 
Back
Top Bottom