KERO Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii

KERO Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
Group limeundwa na watu wa DAWASA wenyewe cha ajabu hawasikilizi shida za wananchi.

Mh. Waziri anahangaika huku na kule lakini wafanyakazi wa DAWASA wachache wanafanya masihara na maisha ya wananchi.

Rais anahangaika huku na kule kuna wapuuzi wamekaa kwenye kiyoyozi wanashika videvu.

Mh. Waziri kama upo humu ujue kuna binadamu wanatamani wakusikie. Nipe namba yako inbox iungwe kwenye Group ujionee.
Screenshot_20240604_212523_Maps.jpg
Hili eneo lina shida isiyoelezeka

Uje ujionee tangu mvua kubwa zinanyesha, hakuna maji hadi leo.

Soma zaidi;
- DAWASA kwanini mvua ni nyingi lakini tunakosa maji?
 
Group limeundwa na watu wa dawasa wenyewe cha ajabu hawasikilizi shida za wananchi.

Mh Waziri anahangaika huku na kule lkn wadawasa wachache wanafanya masihala na maisha ya wananchi.
.Rais anahangaika huku na kule kuna wapuuzi wamekaa kwenye kiyoyozi wanashika videvu.

Mh waziri kama upo humu ujue kuna binadamu wanatamani wakusikie. Nipe namba yako inbox iungwe kwenye Group ujionee.
View attachment 3008562
Hili eneo lina shida isiyoelezeka

Uje ujionee tangu mvua kubwa zinanyesha, hakuna maji hadi leo

Kwa uandishi huu sishangai kwa nini hamna maji na namba ya waziri hamna.
 
Kwa uandishi huu sishangai kwa nini hamna maji na namba ya waziri hamna.
Hujaelewa au? Au ndio ninyi wa dawasa mnajofichamo huku. Acha ukimeo wako hapa wananchi wanahamgaika...kuna uhuasiano upi wa mwandiko na shida ya maji
 
Hujaelewa au? Au ndio ninyi wa dawasa mnajofichamo huku. Acha ukimeo wako hapa wananchi wanahamgaika...kuna uhuasiano upi wa mwandiko na shida ya maji
Hujui kujieleza. Utapata shida sana na kwa huu ubishi maji hupati labda ukashtaki kwa Mungu bwege wewe.
 
Group limeundwa na watu wa dawasa wenyewe cha ajabu hawasikilizi shida za wananchi.

Mh Waziri anahangaika huku na kule lkn wadawasa wachache wanafanya masihala na maisha ya wananchi.
.Rais anahangaika huku na kule kuna wapuuzi wamekaa kwenye kiyoyozi wanashika videvu.

Mh waziri kama upo humu ujue kuna binadamu wanatamani wakusikie. Nipe namba yako inbox iungwe kwenye Group ujionee.
View attachment 3008562
Hili eneo lina shida isiyoelezeka

Uje ujionee tangu mvua kubwa zinanyesha, hakuna maji hadi leo
Mvua ziliponyesha kwanini hamkuvuna na kuhifadhi?
 
Wanapita sana humu sema wanapita kimya kimya ila Waziri wa Maji ni mzigo mno basi tuu ndo hiyo kubebana ila to be honest wizara imemshinda kabisa. Hakuna kinachofanyika zaidi ya porojo.

NB: tupo na baba ake mdogo Hussein Awesso ni full kuvimba na kuweka majungu kwa watumishi wa umma.
 
Naomba mh asome hii asaidie
 
Jamaa ni muelewa atasaidia tu
 
Back
Top Bottom