Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Poleni waTanzaniaWanapita sana humu sema wanapita kimya kimya ila Waziri wa Maji ni mzigo mno basi tuu ndo hiyo kubebana ila to be honest wizara imemshinda kabisa. Hakuna kinachofanyika zaidi ya porojo.
NB: tupo na baba ake mdogo Hussein Awesso ni full kuvimba na kuweka majungu kwa watumishi wa umma.