KERO Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Poleni waTanzania
 
Bora nyinyi mabomba mnayo kuna maeneo kama gongo la mboto ulongoni B mtaa wa ubalozini wamesitisha kuunganisha wateja wapya watu wanaishi kwa kununua maji kila siku wanasema mpaka mradi mpya ukamilike, wakati huo huo kuna mradi wa zamani, ambao hutoa maji ya chumvi
Kwa kifupi hata maji ya chumvi tumenyimwa
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…