Hii mechanism ya Utoaji wa MVUA 30 kisha mtoto anaachiwa mtoto ili amlee peke yake tena katika umri mdogo pamoja na kukosa elimu na PESA naona imekaa vibaya.
Ushauri wangu ni huu:
Ukikutwa na uhusiano na Mwanafunzi,Upigwe mvua chache kidogo kisha uwekwe katika orodha ya sex Offenders n.k.Miaka 30 iachwe kwa FORCED RAPE.Ikishatokea MIMBA na Interest za muathirika zitazamwa au ikishindikana basi Kuwe na OPTION ya kufanya Abortion kwa BINTI na Mwamba akikaa JELA miaka 30 asimwachie mwenzake STRESS.
Binti mwenyewe wa miaka 18 anaoneka Ngubare