PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Kwa waliompendekeza amunike kuwa kocha wa taifa stars nadhani alikua usingizini.
jamaa ni mzito ata kufanya maamuzi ya kufanya sab. Mwenzake wa kenya yuko very shap. Anajua nini maana ya mpira. Tanzania ni bora timu wapewe hata wakina julio.
jamaa ni mzito ata kufanya maamuzi ya kufanya sab. Mwenzake wa kenya yuko very shap. Anajua nini maana ya mpira. Tanzania ni bora timu wapewe hata wakina julio.