30 paaap !!
"Nina vyeti nitapata ajira", "siwezi fanya kazi nje ya taaluma niliyosomea", n.k. ni jinamizi litalokulalia uchelewe kuanza life lako.
Ajira hizo unazoziota zipo chache sana na connection zimerudi kwa kasi, awamu iliyopita ajira zilisimamiwa na idara ya utumishi angalau kulikuwa na fairness, awamu ya sasa maboss wa taasisi na vitengo wanaweza kujisimamia, hapo wenye kipaumbele ni watoto, watoto wa shangazi, ndugu wa mke, n.k. wewe na gpa yako ya 3.5+ utabaki kushangaa wenzako wenye 2.x wanapenya.
Umemaliza chuo hakuna haja ya kusubiria graduation, itafika na kama huna mishe utarudi nyumbani, anza kupiga mishe zako iwe ni kunyoa, boda, umama ntilie, ususi, kushona, n.k. on average angalau uwe una uwezo wa kujitegemea kuanzia kula, kujivisha, kukodi chumba, n.k.
unapiga mishe zako huku unaendelea kucheza bahati nasibu (kubeti) kuajiriwa, hata ukikosa ajira unaendelea na mishe zako na inaweza kufikia kipindi umepanua biashara zako kiasi kwamba hutamani tena ajira, ni bora kuzidi aliekosa ajira anaanza kujitafuta akiwa kwenye 30s from scratch.
Tatizo linalofanya wahitimu wengi wasifanye kazi hizi ni stereotype ya jamii huziona ni za watu waliofeli shule, wahitimu wanaogopa kuhisi watachekwa na watu wa mitaa waliyokulia, Tiba ya hii hofu ni kuhama sehemu uliyokulia, kama umesoma chuo mkoa mwengine baki huko huko, hii inakupa ujasiri wa kujichanganya na kufanya kazi zako kwa uhuru.
Mfano Dar utakuta vijana wengi wadogo wanakuja kusoma na wakimaliza chuo wanabaki na kuanza kujitafuta, wengi wananyanyuka kiuchumi tofauti na wenzao wazawa wa Dar huwakuti kwenye hizo shughuli, wana ile hofu ya "watanionaje watu tunaojuana kwa muda mrefu hapa Dar ?"
we live once, Try to make a series of wise choices that can increase your probability to have a better life.
"Nina vyeti nitapata ajira", "siwezi fanya kazi nje ya taaluma niliyosomea", n.k. ni jinamizi litalokulalia uchelewe kuanza life lako.
Ajira hizo unazoziota zipo chache sana na connection zimerudi kwa kasi, awamu iliyopita ajira zilisimamiwa na idara ya utumishi angalau kulikuwa na fairness, awamu ya sasa maboss wa taasisi na vitengo wanaweza kujisimamia, hapo wenye kipaumbele ni watoto, watoto wa shangazi, ndugu wa mke, n.k. wewe na gpa yako ya 3.5+ utabaki kushangaa wenzako wenye 2.x wanapenya.
Umemaliza chuo hakuna haja ya kusubiria graduation, itafika na kama huna mishe utarudi nyumbani, anza kupiga mishe zako iwe ni kunyoa, boda, umama ntilie, ususi, kushona, n.k. on average angalau uwe una uwezo wa kujitegemea kuanzia kula, kujivisha, kukodi chumba, n.k.
unapiga mishe zako huku unaendelea kucheza bahati nasibu (kubeti) kuajiriwa, hata ukikosa ajira unaendelea na mishe zako na inaweza kufikia kipindi umepanua biashara zako kiasi kwamba hutamani tena ajira, ni bora kuzidi aliekosa ajira anaanza kujitafuta akiwa kwenye 30s from scratch.
Tatizo linalofanya wahitimu wengi wasifanye kazi hizi ni stereotype ya jamii huziona ni za watu waliofeli shule, wahitimu wanaogopa kuhisi watachekwa na watu wa mitaa waliyokulia, Tiba ya hii hofu ni kuhama sehemu uliyokulia, kama umesoma chuo mkoa mwengine baki huko huko, hii inakupa ujasiri wa kujichanganya na kufanya kazi zako kwa uhuru.
Mfano Dar utakuta vijana wengi wadogo wanakuja kusoma na wakimaliza chuo wanabaki na kuanza kujitafuta, wengi wananyanyuka kiuchumi tofauti na wenzao wazawa wa Dar huwakuti kwenye hizo shughuli, wana ile hofu ya "watanionaje watu tunaojuana kwa muda mrefu hapa Dar ?"
we live once, Try to make a series of wise choices that can increase your probability to have a better life.