Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 491
- 180
kuna mgeni mmoja alikuja kutoka nchi jirani alipofika Dar akaingia kwa kinyozi kunyoa nywele alipoingia akajitambulisha mimi ni mgeni natokea kenya,nauliza kunyoa nywele ni bei gani? kinyozi akajibu karibu ukae ni shs.3000 tu jamaa aka anza kunyolewa,wakati akiendelea kunyolewa kinyozi akajamba silence jamaa ushuzi ukampalia akawa hana la kusema,mara kimyozi akamuuliza jamaa umesema unatokea Nairobi vipi unaiyonaje hali ya hewa ya kwetu,jamaa akajibu kama haliyahewa yenyewe ndio hii ikizidi tu kutanyesha mvua ya mavi