decomm
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 726
- 666
Habari?
EKENYWA, MUHIMBILI Hospitals.
Naomba ushauri, ni hospitali ipi nimpeleke mgonjwa wangu? Kwanini nimpeleke uliponishauri badala ya kwingine?
Mgonjwa anasumbuliwa na vinyama vilivyoota ndani pua, anapata shida kupumua.
Natanguliza shukrani.
decomm!
EKENYWA, MUHIMBILI Hospitals.
Naomba ushauri, ni hospitali ipi nimpeleke mgonjwa wangu? Kwanini nimpeleke uliponishauri badala ya kwingine?
Mgonjwa anasumbuliwa na vinyama vilivyoota ndani pua, anapata shida kupumua.
Natanguliza shukrani.
decomm!