kinywaji chetu pendwa grandmalt kimeingiliwa na viwanda bubu ? kwanini za elf 2 zipo ofauti na za 2.500

kinywaji chetu pendwa grandmalt kimeingiliwa na viwanda bubu ? kwanini za elf 2 zipo ofauti na za 2.500

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1730826303213.png


Bei ya Grand malt iliyozoeleka ni elf 2 na mia tano lakini sikuhizi kuna maduka unapata kwa elf 2

Nilianza kununua za elf 2, Sijajua kama koo na ulimi wangu vina matatizo lakini nahisi kuna vitu vimepungua kuanzia ladha, ubaridi, gesi, jinsi inavyopita kwenye koo, n.k.

Nimeanzisha uzi huu kwasababu leo nimerejaribu kununua ya 2,500 nimeinywa na kuridhika
 
Watakuwa washaanza kufyatua feki yao kama kwenye pombe za bei kubwa
 
View attachment 3144491

Bei ya Grand malt iliyozoeleka ni elf 2 na mia tano lakini sikuhizi kuna maduka unapata kwa elf 2

Nilianza kununua za elf 2, Sijajua kama koo na ulimi wangu vina matatizo lakini nahisi kuba vitu vimepungua
Kiwanda changu cha Nongwa enterprises and liquor store tunafyatua hizo. Tuko hapahapa kimara temboni
 
Nilidhani ni mimi mwenyewe kumbe na wengine wameona. moja ina ladha ya sukari zaidi nyingine kama ina uchungu kwa mbali....na hii ilianza kuna miezi kadhaa hapo nyuma zilipotea kabisa alafu zilipoanza kuja ndyo zikawa tofauti
 
View attachment 3144491

Bei ya Grand malt iliyozoeleka ni elf 2 na mia tano lakini sikuhizi kuna maduka unapata kwa elf 2

Nilianza kununua za elf 2, Sijajua kama koo na ulimi wangu vina matatizo lakini nahisi kuna vitu vimepungua kuanzia ladha, ubaridi, gesi, jinsi inavyopita kooni, n.k.

Nimeanzisha uzi huu kwasababu leo nimerejaribu kununua ya 2,500 nimeinywa na kuridhika
Soon tutarudi kwenye togwa tu
 
Nafikiri kwa sasa turudi kwenye minazi na ulanzi ndo asili
 
Back
Top Bottom