Ninachojiulizaga sana hivi hizi taasisi za kuzuia vitu feki zipo kwa majina au uwajibikaji ?Watakuwa washaanza kufyatua feki yao kama kwenye pombe za bei kubwa
Kiwanda changu cha Nongwa enterprises and liquor store tunafyatua hizo. Tuko hapahapa kimara temboniView attachment 3144491
Bei ya Grand malt iliyozoeleka ni elf 2 na mia tano lakini sikuhizi kuna maduka unapata kwa elf 2
Nilianza kununua za elf 2, Sijajua kama koo na ulimi wangu vina matatizo lakini nahisi kuba vitu vimepungua
Toka nilivyojua Konyagi sio za kiwango habari za ujinga ujinga gani sijui ambao ni popular kwa vijana nimeachana nao. Hata hizi energy kuna jambo sio bureWachina watauwa sana figo za vijana wetu wasipothibitiwa...
Kinywaji og kilichobaki ni gongo peke yake
Soon tutarudi kwenye togwa tuView attachment 3144491
Bei ya Grand malt iliyozoeleka ni elf 2 na mia tano lakini sikuhizi kuna maduka unapata kwa elf 2
Nilianza kununua za elf 2, Sijajua kama koo na ulimi wangu vina matatizo lakini nahisi kuna vitu vimepungua kuanzia ladha, ubaridi, gesi, jinsi inavyopita kooni, n.k.
Nimeanzisha uzi huu kwasababu leo nimerejaribu kununua ya 2,500 nimeinywa na kuridhika
Hiyo gongo yenyewe inakojolewa iwe kali
Watu wapo chocho huko wanafyatua tu.Toka nilivyojua Konyagi sio za kiwango habari za ujinga ujinga gani sijui ambao ni popular kwa vijana nimeachana nao. Hata hizi energy kuna jambo sio bure
Mkojo orijino huujui mshangaz au mpka nikukumbushe siku ile?Kwani ni mkojo feki?
magufuli alivokufa tu nazo izo taasisi zikafa!!,,,,,,,,sasa ivi kuna janga kubwa kwenye pombe kali!!Ninachojiulizaga sana hivi hizi taasisi za kuzuia vitu feki zipo kwa majina au uwajibikaji ?