DaVinco Limited
Member
- Jul 18, 2020
- 16
- 13
[emoji23][emoji1787] itakua espresso hiyoBinafsi kuna siku nilikua na mihadi na mshkaji mmoja akadai tukutane pale mlimani city Grano Cofee
Basi tumefika nikapewa menu vitu sikua hata navielewa nikaagiza hyo cofee kikombe kidogi tu asee ilikua chungu haieleweki yani mbaya mno bili ikaja elfu saba dah nikalipa
Sema nilikua naongea dili la biashara ikaenda vizuri so sikujutia sana ingawa naona nilipoteza hela
Binafsi kuna siku nilikua na mihadi na mshkaji mmoja akadai tukutane pale mlimani city Grano Cofee
Basi tumefika nikapewa menu vitu sikua hata navielewa nikaagiza hyo cofee kikombe kidogi tu asee ilikua chungu haieleweki yani mbaya mno bili ikaja elfu saba dah nikalipa
Sema nilikua naongea dili la biashara ikaenda vizuri so sikujutia sana ingawa naona nilipoteza hela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi niliagiza Ile ya lemon nilijutaNiliagiza soda inaitwa krest, ilikuwa mwaka 2003, nilijuta maana nilijikaza ili nisionekane nimekuwa mshamba wa kuagiza nisichokijua!
Dah pole sana.Niliwahi kwenda hotel fulani hivi mbugani nikaambiwa wana supu ya kongolo,sikuwa na haja ya kuuliza bei nikaagiza kwato kwa mbwembwe nikiamini hii ndo size yangu,namaliza kula natoa buku jamaa ananiangalia kwa mshangao kumbe linauzwa buku 5,hadi sasa roho inauma.
Pia 1998 ndani MV Victoria natoka bk kuja mza nikapata mrembo,uko na kule akasomeka tukiwa second sitting ikabidi nifanye mchakato wa room kwa ma-TT nikauziwa room kwa 60000 nikaona sio tabu,kizaazaa kikaja kwenye condom nikapambana na ma-TT wakaniuzia condom 3 kwa 9000 aina SULTAN nilijalaumu kwa umalaya ila sikuwa na jinsi ukizingatia mtoto alikuwa mkali halafu alikuwa akichuka tu anapokelewa na ndugu zake halafu jioni anaunga na treni to Dar,hii siwezi sahau nazeeka nayo moyoni
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
mara nying chai inakua imelala.ugali huwa hauwivi aheri wali kias flan.full stop bora nikale kibanda umiza najua cha leo leo mahotelin most of the time vya kulala.kuna mgahawa posta tulienda yule kuku aliletwa kaoza kabisa wamemchoma na mafuta tuliwashia moto akabadilishwa.penda kula home incase emergency kula hata mahind na matundaSinywi chai ya rangi hotelini ,siagizi ugali hotelini full stop
wewe utakua wa bara wewe.kamba ni nyama tamu sana saanaa mnoNakumbuka siku nikiwa pale Paradise Bagamoyo niliwakuta wazungu wanakula Kamba koche nilipo uliza bei sikuamini masikio yangu.....ila nikahisi ni msosi mtamu sana...nika-agiza kwa mbwembwe zote....miaka 10 imepita bado nikikumbuka natapika....
ungeomba hata msaada abgalau angekuelekezaBinafsi kuna siku nilikua na mihadi na mshkaji mmoja akadai tukutane pale mlimani city Grano Cofee
Basi tumefika nikapewa menu vitu sikua hata navielewa nikaagiza hyo cofee kikombe kidogi tu asee ilikua chungu haieleweki yani mbaya mno bili ikaja elfu saba dah nikalipa
Sema nilikua naongea dili la biashara ikaenda vizuri so sikujutia sana ingawa naona nilipoteza hela
Nilikula chakula cha kitaliani kufika tumboni nidika tumboni kikadunda kama mpira na kurudi sitaki hata kukisikia ,[emoji3][emoji3][emoji3]Wale wanaovamia vyakula vya watusijui kiitaliano,mara korea waje watupe majuto yao
[emoji1][emoji1]Aiseeee kweli bora hata "SANTALUSIA SPAGETI" tamu kuliko "MAKORONYA".