Wadau,
Najua humu kuna wajuzi. Mimi ni mnywaji sana wa hivi vinywaji vyenye vilevi (alcohol), lakini leo nilienda kupima sukari na Bp, sukari yangu imeonekana ipo juu na inakaribia kufikia kiwango cha kuitwa mgonjwa wa kisukari, Bp pia ipo juu zaidi. Moja ya maelekezo niliyopewa na doctor ni kupunguza unywaji wa pombe na ikiwezekana niache kabisa, pamoja na mazoezi na ulaji mlo kamili na kupunguza kula. Sasa swali langu ni kinywaji gani naweza tumia ili isiharibu usawa wa sukari yangu?
Najua humu kuna wajuzi. Mimi ni mnywaji sana wa hivi vinywaji vyenye vilevi (alcohol), lakini leo nilienda kupima sukari na Bp, sukari yangu imeonekana ipo juu na inakaribia kufikia kiwango cha kuitwa mgonjwa wa kisukari, Bp pia ipo juu zaidi. Moja ya maelekezo niliyopewa na doctor ni kupunguza unywaji wa pombe na ikiwezekana niache kabisa, pamoja na mazoezi na ulaji mlo kamili na kupunguza kula. Sasa swali langu ni kinywaji gani naweza tumia ili isiharibu usawa wa sukari yangu?