Kinywaji Gani hasa pombe kali ambacho hakina Sukari?

Kinywaji ambacho hakina ngano ndio ambacho hakitakuwa na sukari mfano spirits kama whisky!
 
Boss kazi Konyagi ina muwa kweli? Sidhani kama utakuwa ushainywa hata mara moja, ungeniambia ina Mchunga ama Aloe vera ingemake sense kidogo!
Kwani hizi whisky huwa zinanywewa kavukavu au unachanganya na kinywaji kingine kama evervess n. K.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SUBARU?? Elezea kidogo hapo,mana mimi ukisema subaru,akili yangu inanipeleka kwenye magari kama ,legacy,forester,impreza n.k
 
Usinywe pombe...!konyagi inatengenezwa kwa mfumo wa mvuke ..inachemshwa 🍇kwa joto kubwa..had inaanz toa mvuke ule mvuke ndo unapata nyagi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…