Kioja ; Msagaji adai ananipenda.

Kioja ; Msagaji adai ananipenda.

Akinambiaga, inaonekana amekuwa akikwambia zaidi ya mara moja.
 
Post za kivulana hizi.
Acha niendelee kusheherekea ya babu sea.
 
Kwan hofu yako nin hasa mkuu..kwamba unaogopa atakusaga au..?manake sikuelewi ujue
 
Usibadili msimamo wako. Huyo hata kama anapretend kuacha, ukishakaa nae kwenye mahusiano atarudia tabia zake na atakutesa sana.
Ata akirudi kwenye usagaji kuna madhara gani. Papuchi yako si IPO tu.
 
Kama unawapenda dada zako usiwe naye lakini kama huwapendi dada zako muoe akawasage
 
Kwan hofu yako nin hasa mkuu..kwamba unaogopa atakusaga au..?manake sikuelewi ujue
Kwa jinsi ninavyowachukulia mimi na mtazamo wangu juu ya wanawake wenye tabia hii, sikutegemea kabisa kitu kama hicho.
 
Baada ya kukinai papuchi sasa hivi anataka dushe!![emoji30][emoji30][emoji30]
 
Usibadili msimamo wako. Huyo hata kama anapretend kuacha, ukishakaa nae kwenye mahusiano atarudia tabia zake na atakutesa sana.
kwani atakuwa amefungwa kamba kumwacha awezi
 
jamani msagaji naye anataka awe na watoto na familia
hata kama akishapata akirudia mara moja moja si mabaya kuliko upunga
 
Back
Top Bottom