Kiongozi anayechaguliwa kwa hila ni Dikteta, Mbowe asome alama za nyakati apishe mwenyekiti Mpya!

Kiongozi anayechaguliwa kwa hila ni Dikteta, Mbowe asome alama za nyakati apishe mwenyekiti Mpya!

Ni hilo tu

Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika

Mungu anasema Ukiahidi Timiza

Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema 😀
Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!
Unataka chadema iuzwe kwa CCM , haondoki mtu hapa!
 
Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!
Unataka chadema iuzwe kwa CCM , haondoki mtu hapa!
Chadema ilishauzwa kwa Aziz 2015

Tunataka kuikomboa
 
Haya mtoa mada twende kushoto, kulia, kushoto, kulia

JamiiForums1267461471_387x387.jpg
 
Hilo haliwezekani.chama ni cha Mbowe na familia yake na Wala sugu siyo mwanafamilia
Wewe huijui Chadema

Chadema iliasisiwa na Tuntemeke Sanga akishirikiana na mabwanyenye wenzake akina Edwin, Bob Makani, Mwakitwange, Ngaiza na Ndesa

Sugu ndiye anamiliki share za bilionea Tuntemeke Sanga 😂😂

CCM kwa Mfano inamilikiwa na Wacheza BAO wa Pwani kiasili na Timu yao ya Dar Young Africans
 
Mbona unateseka sana na Mbowe? Tafuta ugali wa watoto acha fitina!
Ukijibu hivi tafsiri yake ni kwamba Mbowe anang"ang"ania uenyekiti ili watoto wake wwaende chooni. Chadema inapaswa kuwa na watu wanaofikiri zaidi ya wale walioko ccm.

Hoja laini kama hii ulipswa kwenda deep ueleze ni kwann Mbowe anatakiwa kusalia kama mwenyekiti licha ya kuwa aliahidi kunng'atuka, AMA ukubaliane na mleta mada
 
Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!
Unataka chadema iuzwe kwa CCM , haondoki mtu hapa!
Kabisa. Na inabidi ahakikishe katiba mpya haipatikani ili atawale kama mwenyekiti maisha yake yote.
 
Back
Top Bottom