johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbona unateseka sana na Mbowe? Tafuta ugali wa watoto acha fitina!Ni hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika
Mungu anasema Ukiahidi Timiza
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema π
Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!Ni hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika
Mungu anasema Ukiahidi Timiza
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema π
Watoto wako wanakula ugali?πΌMbona unateseka sana na Mbowe? Tafuta ugali wa watoto acha fitina!
Chadema ilishauzwa kwa Aziz 2015Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!
Unataka chadema iuzwe kwa CCM , haondoki mtu hapa!
Miaka 20 ya uongozi wake imetoshaAtaongezewa tu na wanachama wanaomkubali, atake asitake.
Hiyo imebakia historia
Na ya CCM itoshe pia ...mtoke...Miaka 20 ya uongozi wake imetosha
Chama anakabidhiwa Mmarekani Bilionea Sugu mjukuu wa muasisi wa Chadema Dr Tuntemeke Sanga ππMuacheni Mbowe Aendelee kuchapa kazi kuliko kuwakabidhi na kukiacha chama kwenye mikono ya watu kama Lissu.
Hilo haliwezekani.chama ni cha Mbowe na familia yake na Wala sugu siyo mwanafamiliaChama anakabidhiwa Mmarekani Bilionea Sugu mjukuu wa muasisi wa Chadema Dr Tuntemeke Sanga ππ
Wewe huijui ChademaHilo haliwezekani.chama ni cha Mbowe na familia yake na Wala sugu siyo mwanafamilia
Ukijibu hivi tafsiri yake ni kwamba Mbowe anang"ang"ania uenyekiti ili watoto wake wwaende chooni. Chadema inapaswa kuwa na watu wanaofikiri zaidi ya wale walioko ccm.Mbona unateseka sana na Mbowe? Tafuta ugali wa watoto acha fitina!
Kabisa. Na inabidi ahakikishe katiba mpya haipatikani ili atawale kama mwenyekiti maisha yake yote.Haondoki mtu hapa. Unataka cecil Mwambe? Haondoki mtu hapa! Mpaka tupate katiba mpya! ambayo Rais hatakuwa Mungu Mtu kama Samia alivyo!
Unataka chadema iuzwe kwa CCM , haondoki mtu hapa!
Mbowe ndio anasababisha maisha yawe magumu? wacha ujingaNi hilo tu
Mbowe ulishatangaza 2023 unastaafu na Mungu wa mbinguni alisikia pia Dunia ilisikika.
Mungu anasema Ukiahidi Timiza.
Mungu wa mbinguni mfanyie Wepesi Freeman Mbowe wa Chadema π
Pia soma