Kiongozi Hezbollah, Nasrallah anawambia Israel: "Mnataka vita, anzisheni muone

Kiongozi Hezbollah, Nasrallah anawambia Israel: "Mnataka vita, anzisheni muone

Nimeshtuka ulivyoniambia shoga ana shabaha daaah ahsante sana na zawadi yako.
Wewe ndio umeingiza hiyo Mada ya Ushoga kama Shoga kazi yake ni kubonyeza Button na kuua Maustazi basi hiyo Shoga kabrikiwa na Allah.

Ninyi mnasema Shoga kalaaniwa na Allah Allah huyo huyo amemjaalia Shoga awaue maustazi basi huyo Allah achekiwe Mental Health.
 
Wewe ndio umeingiza hiyo Mada ya Ushoga kama Shoga kazi yake ni kubonyeza Button na kuua Maustazi basi hiyo Shoga kabrikiwa na Allah.

Ninyi mnasema Shoga kalaaniwa na Allah Allah huyo huyo amemjaalia Shoga awaue maustazi basi huyo Allah achekiwe Mental Health.
hayo yote unayesema wewe shoga😅
 
Uzuri vita ikianza Tutapata hashtag mpya #FreeLebanon
Nadhani wataenda hadi kwenye Mto Litani kutengeneza Bufferzone.

Hatutachelewa kuwasikia Useful Idiots wakisema Queers for Hezbola.
 
hayo yote unayesema wewe shoga😅
Wewe ndio umeyaleta ya Ushoga mimi nilikuwa najadiliana na wewe kuhusu IDF na Hezbullah.

Kama mimi ni Shoga basi Allah ananipenda.
 
Sauti ilisikika ikitokea kwenye mafichoni ndani ya handaki
 
Huyo Nasra anajirikodi video akiwa kwenye shimo alafu anarusha clip na anavyosakwa kichwa chake na MOSAD kila dakika, soon kichwa chake kitakuwa Tel Aviv, hivi kwa akili yako huyo Nasra anaweza pigana na nani? Umeomuona? Nasra kavaa madela na vilemba kila kona anaweza pigana vita na nani? Ngoja uone sasa Israel iingie Lebanon watakavyo malizwa huyo Nasra na Hezbollah..!! Nasra kazi kurikodi vi clip akiwa katika maficho na kutoa kwenye TV, muoga kuliko hata panya kwa paka, nyoko zake

Gaza ilianza hivi hivi leo ni magofu milele, na Lebanon soon itaanza kuwa magofu.
Waisrael wa bongo kuotoka maji matitu mnavyowasifia hawa ja.ma utadhani ni viumbe vya tofauti ..ataakikuambia vua suruali nikuuinamia utakubali ili mmbarikiwe .
Sijui kichwn mna matope kuchwan kiasi hiki
 
BREAKING:

🇮🇱🇱🇧 Iwapo Israel itavamia, Lebanon itafurika na mamia ya maelfu ya wapiganaji kutoka Syria, Iraq na Yemen - Axios

Kitu ambacho tayari nimeandika jana.

Maafisa walifichua kuwa Marekani iliiambia Israel kuwa vita vichache nchini Lebanon vinaweza kuishinikiza Iran kuingilia kati na kuanzisha mzozo wa kikanda.

Lebanon inaweza kufurika na wanamgambo kutoka wanamgambo wanaoiunga mkono Iran nchini Syria, Iraq na Yemen.

Ndio maana Marekani inajaribu kutuliza hali kwenye mpaka kati ya Lebanon na Israel, lakini pia wanahofia kuwa Israel itaingia vitani.

t.me/megatron_ron
Ikianugia,vitan ni mabilion mengine kutoka kutkka kwa walipa kodi ww usa kwenda Israeli
 
Wanaukumbi.

🇮🇱🇱🇧 Hapo jana Israel walisema wanaelekea kwenye uamuzi wa kuivamia Lebanon, leo Hezbollah wamerusha roketi kwenye kituo chao na kuua na kujeruhi makumi ya wanajeshi.

Wakati huo huo, kiongozi wa Hezbollah, Nasrallah alisema: "Mnataka vita, anzisha."

Hezbollah, baada ya kutambua udhaifu wa IDF, ambayo baada ya miezi 7 karibu haikupata mafanikio yoyote makubwa dhidi ya Hamas yenye silaha duni, ambayo bado imesimama kidete, sasa inaichochea Israel kuivamia Lebanon. Kwa kweli wanataka uvamizi.

Ikiwa unakumbuka kwamba mwanzoni mwa vita hivi, niliandika kwamba awamu ya kwanza na kazi ya Hamas ni kutoa muhanga na kulemaza jeshi la Israeli kadri inavyowezekana, hadi itakapoanza awamu ya pili ya vita na Hizbullah.

Hamas imevuka matarajio yote yanayowezekana na sio tu kwamba imelemaza IDF lakini bado imesimama kidete. Uvamizi wa Lebanon ungekuwa mbaya mara 10 kuliko ule wa Gaza.

Hezbollah ina jeshi lenye uzoefu wa kijeshi la zaidi ya 100,000, silaha nyingi, na njia za usambazaji kupitia Syria ambazo pia zitatumika kwa nguvu na wafanyikazi wa Houthi.

Uvamizi wa Lebanon utakuwa ni kitu au si chochote kwa Israel, ndiyo maana nadhani kuna uwezekano mkubwa kwamba hilo halitatokea, lakini Israel itakubali kusitisha mapigano na Hamas ili tu kutatua uhusiano wa kidiplomasia na Hezbollah au watachagua kuteseka. mapigo ya Hezbollah hadi wawashinde Hamas. Na kuna muda kidogo na kidogo.
=========================
🇮🇱🇱🇧 Yesterday Israel said that they are moving towards a decision to invade Lebanon, today Hezbollah fired a rocket at their base, killing and injuring dozens of soldiers.

Meanwhile, the leader of Hezbollah, Nasrallah said: "You want war, bring it on."

Hezbollah, after realising the weakness of the IDF, which after 7 months almost did not achieve any significant success against the poorly armed Hamas, which is still standing firm, is now provoking Israel to invade Lebanon. They literally want the invasion.

If you remember that at the beginning of this war, I wrote that the first phase and the task of Hamas is to sacrifice and cripple the army of Israel as much as possible, until the second phase of the war with Hezbollah begins.

Hamas has exceeded all possible expectations and not only crippled the IDF but is still standing firm. An invasion of Lebanon would be 10 times more deadly than that of Gaza.

Hezbollah has a military-experienced army of over 100,000, plenty of weapons, and supply routes through Syria that will also serve to reinforce with Houthi personnel.

An invasion of Lebanon will be all or nothing for Israel, which is why I think there are high chances that it will not happen, but that Israel will accept a ceasefire with Hamas only to resolve diplomatic relations with Hezbollah or they will choose to suffer the blows of Hezbollah until they defeat Hamas. And there is less and less time.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1798410156658635089?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


View: https://x.com/me_observer_/status/1798410590022480329?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

waislam hawajawahi kuwa na amani mioyoni mwao, nawe nenda kajiunge nao ndio maisha yenu
 
Unapenda sana vita inaonekana.
Swali la kujiuliza,
Ina faida kwako kiroho?
Ina faida kwako kiuchum?
Ina faida kwako kijamii?
Ina faida kwako kitamaduni?
Waisrael wote wakifa utafaidika na nini?
Kobaz akili zao zinawatosha wao wenuewe
 
Kobaz akili zao zinawatosha wao wenuewe
Wagalatia wa JF wana vituko sana wanawacheka Waislam kuvaa kobazi wakati wao wanavaa misalaba ya mbao😂
 
Maajabu makubwa mtu mwenyewe anayetoa vitisho anaishi shimoni kama nguruwe pori /ngiri kuogopa dhahama ya mnyama simba /israeli🇮🇱🤔
 
Back
Top Bottom