Atakua kafika bei maana ccm ni majizi na majitu ya rushwaje,
ni nani na ni kutoka chama gani cha upinzani?
ni suala la muda tu linalosubiriwa ili muungwana huyo aweke wazi uamuzi wake huo muhimu, ambao pia ni haki na uhuru wake kikatiba.
ni muhimu kua wastahimilivu na wenye subra.
unahisi amechochewa na nini kufikia na kuchukua uamuzu huo?
Huyo si mpinzaniNi Zitto Kabwe
Angalia mkeka wako, Vipi kuhusu Mubelijiji?Hapa mkekani naona Mcanada na …
je,
ni nani na ni kutoka chama gani cha upinzani?
ni suala la muda tu linalosubiriwa ili muungwana huyo aweke wazi uamuzi wake huo muhimu, ambao pia ni haki na uhuru wake kikatiba.
ni muhimu kua wastahimilivu na wenye subra.
unahisi amechochewa na nini kufikia na kuchukua uamuzu huo?
Mkuu huwa nakuelewa, mwingine nani?Hapa mkekani naona Mcanada na …
Kabisa nashangaa TRA wanashindwaje kuenda kukusanya kodi kwenye hiki chanzo kipya cha mapato, wakachukue withholding na VATSiasa ni biashara
Uno sawa kabisaWote waende ila Lissu tu, basi.
Lazima uwe bwege wa akili kufikiria Lisu anaweza kwenda chama cha majitu maovu.Angalia mkeka wako, Vipi kuhusu Mubelijiji?