Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
August 15, 2019
Mkuranga Pwani, Tanzania
ASKARI AGOMA KUSALIMIA SALAMU YA CCM
Nimemkumbuka askari huyu mzalendo anayefuata maadili ya jeshi na katiba ya nchi huko Mkuranga Pwani aliyekataa kuburuzwa na makada wa CCM
Mbowe lile zezeta la chadema,kwani wewe ni j.mukya?[emoji23][emoji1787][emoji2960]Mbowe yupi Mme wako au Yule Rais wa Tanzania?
August 15, 2019
Mkuranga Pwani, Tanzania
ASKARI AGOMA KUSALIMIA SALAMU YA CCM
Nimemkumbuka askari huyu mzalendo anayefuata maadili ya jeshi na katiba ya nchi huko Mkuranga Pwani aliyekataa kuburuzwa na makada wa CCM
Jifunze kuelewa na kujifunza kile usichoelewa. acha kubwabwaja maneno yasiyo na tija.Aaaah Mimi Nina PhD fake kama mchattle
Hii ni Serikali ya Kipolisi inayoongozwa na CCMKwani uongo chama hicho ndio chenye serikali?
Kuna ndugu yako yeyote Ni Police??? Au wote Ni wanasheria Kama Tundu Lissu???Huyu polisi haelewi wajibu wake. CCM inapenda sana watu wasiyojielewa kama huyu.
Hoja zako zinahusiana vipi na huyu polisi asiyejitambua?Kuna ndugu yako yeyote Ni Police??? Au wote Ni wanasheria Kama Tundu Lissu???
Hujaelewa???Hoja zako zinahusiana vipi na huyu polisi asiyejitambua?
Bado kabisaHujaelewa???