Uchaguzi 2020 Kiongozi mwandamizi wa Polisi anapogeuka mpiga kampeni wa CCM

Uchaguzi 2020 Kiongozi mwandamizi wa Polisi anapogeuka mpiga kampeni wa CCM

August 15, 2019
Mkuranga Pwani, Tanzania

ASKARI AGOMA KUSALIMIA SALAMU YA CCM
Nimemkumbuka askari huyu mzalendo anayefuata maadili ya jeshi na katiba ya nchi huko Mkuranga Pwani aliyekataa kuburuzwa na makada wa CCM


CCM wana matatizo sana!!
 
Kwani uongo chama hicho ndio chenye serikali?
 
August 15, 2019
Mkuranga Pwani, Tanzania

ASKARI AGOMA KUSALIMIA SALAMU YA CCM
Nimemkumbuka askari huyu mzalendo anayefuata maadili ya jeshi na katiba ya nchi huko Mkuranga Pwani aliyekataa kuburuzwa na makada wa CCM


Naam! Amefanya vyema Huyo Corporal! Siyo kama lile jibwa linajiita arapisii wa chuga, huyu coplo ndo alitakiwa apewe "uarapisii" na yule arapisii akalambe viatu vya wanasiasa, jinga kabisa lile
 
Yupo sahihi! Ccm ni chama dola hivyo lazima atekeleze ilani yake na amri zake.
 
Back
Top Bottom