dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Huyu naona analitekenya bomu
Watu wanataka uhuruWatanzania wamechoshwa kusifu na kuabidu, kutekana, visasi , chuki na Mauaji yanayofaywa na JIWE.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu naona analitekenya bomu
Huyu atafutwa uanachama na CCMHaijawahi kutokea
View attachment 1605695
Mbele kwa mbeleCcm mwaka huu wamekuwa zaidi ya vichaa Lissu kaza spana makambare yamehumiwa🤣🤣
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Tupe matokeo mkuu.Ccm mwaka huu wamekuwa zaidi ya vichaa Lissu kaza spana makambare yamehumiwa🤣🤣
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️