Kiongozi wa Hamas aliyeongoza mauaji ya Wayahudi ukingo wa magharibi wa mto Jordan auawa na IDF

Kiongozi wa Hamas aliyeongoza mauaji ya Wayahudi ukingo wa magharibi wa mto Jordan auawa na IDF

Huyo mrithi wa Haniye atafanyaje kazi? Kwa sababu na yeye anatafutwa sana na jeshi la Israel. October 17 attack imekuwa chanzo cha matatizo yote, imeleta madhara makubwa sana kwa wapalestina na viongozi wa Hamasi, hao viongozi wa Hamas kuuliwa sana inatokana na wapiganaji wa hamas waliokamatwa na jeshi la Israel kutoa siri baada ya interogation
Siyo Oct 17 ni Oct 7
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa mpya hiyo kubwa la magaidi almaarufu Nael Sakhel ameuawa katika shambulizi la IDF huko Gaza

Soma zaidi hapo chini:

Mungu ibariki Israel



IDF: Top Hamas operative who directed West Bank terror killed in recent Gaza strike


A senior Hamas member in the Gaza Strip who was involved in directing attacks in the West Bank, was killed in a recent airstrike, the IDF announces.

According to the military, Nael Sakhel was targeted on July 24, and a few days later, it received intelligence that he was killed.

Sakhel had been a member of Hamas’s so-called West Bank headquarters for more than a decade, the IDF says. The Gaza Strip-based unit is charged with directing attacks on Israel from or within the West Bank


According to the IDF, Sakhel was involved in funding and providing weapons to terror cells in the West Bank.

Sakhel had first been detained by Israel in 2003 and sentenced to life over involvement in a suicide bombing in Israel. He was then released and exiled to Gaza in a 2011 deal, in which Israel exchanged 1,027 terror convicts for captive soldier Gilad Shalit.


Kuna waandamizi wangapi na wote kila siku huuawa haohao ?? au wana roho ya paka
 
Hao watoto watakuwa magaidi wa baadae, hao wamama ndo wanazaa magaidi na kutumiwa na magaidi


hakuna maji ya bure kamlipe mchungaji wako

 
Back
Top Bottom