Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unaona ni sawa watu kukatiwa huduma zote za kijamii , jifanye ungekuwa huko . Usingeandika hiki ulichoweka hapa
Wewe usije kuwajaza wakadhani ni kweli wakija kuvuka red line usije ukaja humu kuanza kulilia haki za binadamu. Serikali haishindwi kitu ila siasa ina nafasi yake.
Umenikunaaa hili jibu zuri Sana SanaTumjue kwanza aliyetoa amri ya vijiji kufutwa. Maana naona wanapeana pongezi za kurudisha amani ngorongoro. Nani alisababisha amani ipotee na kwanini?
CCM ni wajinga snWamasai wameupiga mwingi sana no wonder walianza kuwazushia eti siowaTz bali wanatoka Kenya hahhahahh
Baada ya CCM na makada wake wauaji kushindwa nguvu ya umma wa Masai, wakaona waje na kona kali kudai hao Wamasai wanaopigania haki zao ni Wakenya.Wamasai wameupiga mwingi sana no wonder walianza kuwazushia eti siowaTz bali wanatoka Kenya hahhahahh
Wanacreate tatizo wanalitatua na kujifanya wanajipa sifaUmenikunaaa hili jibu zuri Sana Sana
SanaCCM ni wajinga sn
Ni majitu ya hovyo snSana
MnoNi majitu ya hovyo sn
Tuyapeleke hata kwa waganga wa kienyeji
KabisaTuyapeleke hata kwa waganga wa kienyeji
Sema CCM wapo vizuri sn kwenye ushirikinaKabisa
Safi saaanaKiongozi wa haya maandamano ni nani?
Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza?
Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
Sana sana wanaamini na kuupendaSema CCM wapo vizuri sn kwenye ushirikina
Polisi wa kawaida wa kabila jingine asingeweza ku infiltrate jamii ya kimasai na kuchukua habari lakini pia hata polisi toka jamii ya kimasai asingeweza kufanya huo ujinga, maana wamasai wakiwa jandoni wanapewa kula kiapo Cha kutomsaliti mmasai mwenzake hata apewe kitu gani. Na angetokea msaliti wa kimasai Basi karma ingeanza na yeye.