mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 478
Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).
UPDATE:
Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!
PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!
Matukio mengine ya watu wasiojulikana Soma
2013
- PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa
- Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa
- Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea siku 10 na hajulikani alipo
- Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam
- Picha: Nyumba ya Asha Baraka yabomolewa na watu wasiojulikana eneo la Hanansifu jijini Dar
- Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!
- Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM
- Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machalli avamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana!
- Jengo la CCM Mtwara lateketezwa kwa moto...
- 'Wahuni' wateketeza mali za kanisa Sumbawanga
- Kanisa la TAG Songea latishiwa kuchomwa moto
- Ifunda tech secondary school ya chomwa moto
- Mwandishi Andrew Chale anusurika kutekwa na watu wasiojulikana
- Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!
- Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana
- Mwanza: Watu watatu wa familia moja waliuawa kikatili, kwa kunyongwa na watu wasiojulikana
- Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi
- Vurugu zimetokea Msikitini huko Kyela, watu wajeruhiwa kwa visu na mapanga
- Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake
- Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha juu ya CHADEMA
2014
- Watu wasiojulikana wameiba sanduku lenye chatu na kulitelekeza
- Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana
- Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport
- Profesa Athuman Mavige auawa kwa risasi Bunju
- Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa
- Uchaguzi S/Mitaa: Mgombea wa CCM kijiji cha Isanzu Nzega auawa kwa kukatwa mapanga
- M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga na Katibu Msaidizi Mkoa wa Vyuo Vikuu washambuliwa kwa Risasi
- Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo
2016
- Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza
- Tanzia: Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana
2017
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi
- Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!
- Kenya: Nyumba ya Makamu wa Rais William Ruto yashambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana
- Zaidi ya ekari elfu 7 za mazao ya wananchi Kigoma zavunwa na watu wasiojulikana na nyumba kuchomwa
- Jiepushe na 'Watu Wasiojulikana' kwa hizi mbinu 10
- Kumbe Ben Saanane alipotea kwa sababu hii ya kuhoji ushindi wa fulani
- Siku, dakika za mwisho kabla ya Ben Saanane kutoweka
2018
- Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay
- Polisi Zanzibar walichora Mchoro wa wasiojulikana wakakamatwa, bara tunashindwa nini kwa Lissu?
- Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
- ORODHA: Watu Waliouawa/Kutekwa/Kupotezwa na Watu Wasiojulikana/Police Brutality Utawala Wa Magufuli
2019
- Mfanyabiashara Raphael O. Ongangi atekwa na watu wasiojulikana! Ni aliyekuwa Msaidizi wa Zitto
- Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’
- Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana
- Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia
2020
- Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
- Lindi: Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Msimamizi wa Uchaguzi na nyumba ya Mbunge
- Uchaguzi 2020 - Mgombea ubunge jimbo la Mvomero kupitia CHADEMA ndugu Peter Mdidi ametekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana
- Uchaguzi 2020 - Kama Amiri Jeshi Mkuu, tuambie hawa "wasiojulikana" ni akina nani tutakupa kura, mengine tutakusamehe
- Watanzania waliounda genge la "watu wasiojulikana" roho mbaya waliitoa wapi?
2021
- Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba
- Waziri wa Uganda apigwa risasi na watu wasiojulikana karibu na nyumba yake
- Watu Wasiojulikana wafunga ofisi ya serikali ya mtaa Jijini Mwanza
2022
- Auawa, akatwa korodani na koromeo na watu wasiojulikana mkoani Mwanza wilaya ya Sengerema
- Heka heka za watu wasiojulikana kwenye awamu ya sita
2023
- Gari la mbunge wa Songwe lachomwa moto na watu wasiojulikana
- Mwaka wa pili sijawasikia watu wasiojulikana
- Msaidizi wa Lissu adaiwa kujeruhiwa na mapanga na watu wasiojulikana
- Siku Watu Wasiojulikana walipoharibu magari ya Mbowe huko Hai
2024
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).
UPDATE:
Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!
Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.
Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!
Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.
Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
Matukio mengine ya watu wasiojulikana Soma
2013
- PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa
- Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa
- Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Azory Gwanda apotea siku 10 na hajulikani alipo
- Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam
- Picha: Nyumba ya Asha Baraka yabomolewa na watu wasiojulikana eneo la Hanansifu jijini Dar
- Kanisa la Segerea latupiwa 'bomu' la mafuta, laungua; KKKT Kijitonyama kwaibuka hofu!
- Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM
- Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machalli avamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana!
- Jengo la CCM Mtwara lateketezwa kwa moto...
- 'Wahuni' wateketeza mali za kanisa Sumbawanga
- Kanisa la TAG Songea latishiwa kuchomwa moto
- Ifunda tech secondary school ya chomwa moto
- Mwandishi Andrew Chale anusurika kutekwa na watu wasiojulikana
- Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!
- Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana
- Mwanza: Watu watatu wa familia moja waliuawa kikatili, kwa kunyongwa na watu wasiojulikana
- Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi
- Vurugu zimetokea Msikitini huko Kyela, watu wajeruhiwa kwa visu na mapanga
- Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake
- Taarifa kwa Vyombo vya Habari kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha juu ya CHADEMA
2014
- Watu wasiojulikana wameiba sanduku lenye chatu na kulitelekeza
- Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana
- Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport
- Profesa Athuman Mavige auawa kwa risasi Bunju
- Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa
- Uchaguzi S/Mitaa: Mgombea wa CCM kijiji cha Isanzu Nzega auawa kwa kukatwa mapanga
- M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga na Katibu Msaidizi Mkoa wa Vyuo Vikuu washambuliwa kwa Risasi
- Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo
2016
- Watu wasiojulikana wampiga risasi na kumuua Alphonce Nyinzi M/Kiti wa Mtaa wa Bulale mkoani Mwanza
- Tanzia: Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana
2017
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi
- Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!
- Kenya: Nyumba ya Makamu wa Rais William Ruto yashambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana
- Zaidi ya ekari elfu 7 za mazao ya wananchi Kigoma zavunwa na watu wasiojulikana na nyumba kuchomwa
- Jiepushe na 'Watu Wasiojulikana' kwa hizi mbinu 10
- Kumbe Ben Saanane alipotea kwa sababu hii ya kuhoji ushindi wa fulani
- Siku, dakika za mwisho kabla ya Ben Saanane kutoweka
2018
- Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay
- Polisi Zanzibar walichora Mchoro wa wasiojulikana wakakamatwa, bara tunashindwa nini kwa Lissu?
- Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
- ORODHA: Watu Waliouawa/Kutekwa/Kupotezwa na Watu Wasiojulikana/Police Brutality Utawala Wa Magufuli
2019
- Mfanyabiashara Raphael O. Ongangi atekwa na watu wasiojulikana! Ni aliyekuwa Msaidizi wa Zitto
- Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’
- Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana
- Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia
2020
- Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
- Lindi: Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Msimamizi wa Uchaguzi na nyumba ya Mbunge
- Uchaguzi 2020 - Mgombea ubunge jimbo la Mvomero kupitia CHADEMA ndugu Peter Mdidi ametekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana
- Uchaguzi 2020 - Kama Amiri Jeshi Mkuu, tuambie hawa "wasiojulikana" ni akina nani tutakupa kura, mengine tutakusamehe
- Watanzania waliounda genge la "watu wasiojulikana" roho mbaya waliitoa wapi?
2021
- Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba
- Waziri wa Uganda apigwa risasi na watu wasiojulikana karibu na nyumba yake
- Watu Wasiojulikana wafunga ofisi ya serikali ya mtaa Jijini Mwanza
2022
- Auawa, akatwa korodani na koromeo na watu wasiojulikana mkoani Mwanza wilaya ya Sengerema
- Heka heka za watu wasiojulikana kwenye awamu ya sita
2023
- Gari la mbunge wa Songwe lachomwa moto na watu wasiojulikana
- Mwaka wa pili sijawasikia watu wasiojulikana
- Msaidizi wa Lissu adaiwa kujeruhiwa na mapanga na watu wasiojulikana
- Siku Watu Wasiojulikana walipoharibu magari ya Mbowe huko Hai
2024
- Moshi: Mgambo maarufu 'Farjala Abdallah' auawa na watu wasiojulikana
- Kuelekea 2025 - Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana
- Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana
- Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati
- Mbowe aelezea alivyonusurika kuuwawa June 2013 Soweto Arusha
- Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024
- Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’
- Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”
- Geita: Mfanyabiashara Daniel Sayi hajulikani alipo baada ya kuchukuliwa na watu wasiojulikana
- Lini utekaji wa watu kupitia watu wasiojulikana utakoma?
- TLS, yatoa orodha ya watu waliopotea na kutekwa na tamko juu ya ongezeko la vitendo vya utekaji na upoteaji wa watu nchini
- Je, tutaendelea kuvumilia kutekwa na kupotezwa kwa Viongozi wa CHADEMA hadi lini?
- Waandishi wawili wa Jambo Tv wakamatwa na Polisi Mbeya akiwa kwenye majukumu yao ya kikazi
- Kuelekea 2025 - Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA
- Kupambana na watu wasiyojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi
- Kutoweka kwa Soka na wenzake, IGP, DPP, OCCID Temeke kufikishwa Mahakamani kwa Hati ya dharura
- IGP Wambura: Polisi hatuhusiki na matukio ya utekaji watu
- Wakili Madeleka: Tuna ushahidi unaojaa fuso mbili polisi kuhusika kumkamata Soka
- Kuelekea 2025 - Sativa: Nilitekwa na Jeshi la Polisi wakiwa na lengo la kuniua, hata nikipotea kesho Jeshi la Polisi litakuwa limehusika
- Polisi: Wafanyabiashara wawili waliodaiwa kupotea Songea, waliuawa na Mganga wa Kienyeji na kuzikwa
- Aliyepotea Singida abainika kuuawa kwa mganga wa kienyeji
- Waganga wakataa kuhusishwa na matukio ya mauaji ya watu yanayotokea karibuni nchini
- John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana
- Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo
- Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
- Breaking News: - Kuelekea 2025 - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
- Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala