Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
nadhani hata naibu mwanasheria wa serikali anahusika kwa sababu jana alinukuliwa na VOA akisema madaktari wasiporudi kazini kwa kutii amri ya mahakama. Watasikia kesho nadhani hii ni mojawapo ya uthibitisho wa kauli yake. sasa watatujua sisi ni kinanani na sasa ndiyo wamechokoza moto hata na kwenye mahalmashauri madaktari watagoma, solidarity forever bravo madaktari
Unajuwa ndani ya nchi kuna vyombo vingi vya usalama.vingine vinafanya kazi waziwazi na vinajulikana kwa watu.vingine vinafanya kazi kwa kificho na havitakiwi kujulikana na ofisi zao unaweza ukakuta ni mahandaki na vyote hivyo vinamiliki silaha kihalali na lengo lao ni moja.
Kwa hoja ya mleta taarifa kutekwa nineno zito sana halilingani na nguvu iliotumika kumchukuwa huyu dr.kutekwa lazima itumika nguvu kubwa.nguvu iliotumika hapa ni ya kawaida hivyo atakuwa amekamatwa na baadhi vyombo vya usalama ambavyo unaweza ukakuta hata vyenyewe havijuwani.
Kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea.
hivi hapa Kariakoo wapi wanauza bastola?
Kuna thread ipo yenye hii habari, ila nayo bado ni unconfirmed.
alizungumza kama mwanasheria sio kama mtekaji kwani hujui mtu akikaidi amri ya mahakama anafanywa nini?