ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Kwenye kukagua miradi yuko makini sana, anathibitisha yeye mwenyewe yaani kama VAR katika mpira.
Tuliona akikagua ubora wa barabara, na sasa tunaona akikagua miundombinu mbalimbali akiwa mkoani Mtwara.
Kwa hakika, huyu jamaa waliomfanyia vetting walichagua kiongozi bora natamani haya makeke yake angekuwa anayafanya awamu ile ya 5 naamini angefika mbali sana.
Kongole kwake...
Tuliona akikagua ubora wa barabara, na sasa tunaona akikagua miundombinu mbalimbali akiwa mkoani Mtwara.
Kwa hakika, huyu jamaa waliomfanyia vetting walichagua kiongozi bora natamani haya makeke yake angekuwa anayafanya awamu ile ya 5 naamini angefika mbali sana.
Kongole kwake...