Hivi huyo mtu ana mamlaka juu ya RC, au?Kwenye kukagua miradi yuko makini sana, anathibitisha yeye mwenyewe yaani kama VAR katika mpira.
Tuliona akikagua ubora wa barabara, na sasa tunaona akikagua miundombinu mbalimbali akiwa mkoani Mtwara.
Kwa hakika, huyu jamaa waliomfanyia vetting walichagua kiongozi bora natamani haya makeke yake angekuwa anayafanya awamu ile ya 5 naamini angefika mbali sana.
Kongole kwake...
View attachment 2190675
View attachment 2190676
Atakuwa anaripoti kwa RaisHivi huyo mtu ana mamlaka juu ya RC, au?
Halafu yeye anaripoti kwa nani?
Akifika kilimanjaro kule wilaya ya Hai, akakague barabara zolizojengwa na Tarura huko vijijini ajionee fedha zinavyoibiwa hovyoKwenye kukagua miradi yuko makini sana, anathibitisha yeye mwenyewe yaani kama VAR katika mpira.
Tuliona akikagua ubora wa barabara, na sasa tunaona akikagua miundombinu mbalimbali akiwa mkoani Mtwara.
Kwa hakika, huyu jamaa waliomfanyia vetting walichagua kiongozi bora natamani haya makeke yake angekuwa anayafanya awamu ile ya 5 naamini angefika mbali sana.
Kongole kwake...
View attachment 2190675
View attachment 2190676
Anapotumia sululu siyo kwamba anakagua Ubora, anachofanya ni mbadala ya Drilling ili kuweza kujua thickness kujua unene wa Mchanga, Kokoto, Zege, Lami nk. So tusibeze kila kitu jamani yeye ndio njia aliyooona inafaaa kugagua layers za hiyo barabara. Labda mkuu twambie njia gani angeweza kutumia ikawa na Ufanisi zaidi?Huyo kiongozi elimu yake ya upembuzi ndogo sana, haiwezekani mtu unakagua barabara ya lami kwa kuchimba na sururu eti anaangalia ubora.
Pia ubora wa dirisha eti kwa kupindisha chuma hajui hayo ni mapambo, yakipinda jee atashindwa kuzindua jengo? Binafsi simkubali uyo kiongozi
Ana ripoti kwa wazee(waungwana) wenye mwenge waoHivi huyo mtu ana mamlaka juu ya RC, au?
Halafu yeye anaripoti kwa nani?
Na, ana taaluma gani?
Njia zipo za aina tofauti tofauti, hiyo drilling sio njia ya kutest bituminous Road quality. Labda angetumia mojawapo kati ya hiziAnapotumia sululu siyo kwamba anakagua Ubora, anachofanya ni mbadala ya Drilling ili kuweza kujua thickness kujua unene wa Mchanga, Kokoto, Zege, Lami nk. So tusibeze kila kitu jamani yeye ndio njia aliyooona inafaaa kugagua layers za hiyo barabara. Labda mkuu twambie njia gani angeweza kutumia ikawa na Ufanisi zaidi?