Kiongozi wa Mwenge kawa mkweli

Kiongozi wa Mwenge kawa mkweli

Mwanagenzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2006
Posts
738
Reaction score
273
Muhtasari wa taarifa ya mbio za Mwenge 2024 imejaa ukweli mwingi. Wamejitahidi kubainisha kero na mahitaji ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali. Sikusikia kero za wakazi.wa Dar ila kwa mujibu wa ripoti Wazanzibari wengi wameonyesha kuridhishwa na utendaji wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano na wa Serikali ya Mapinduzi Zanzaibar.

Utendaji wa Halmashauri nyingi si wa kuridhisha na TAKUKURU inapaswa kuwa makini zaidi kwa mujibu wa ripoti.

Je, mamlaka zitachukua hatua stahiki na kwa wakati muafaka? Au makabrasha yote hayo yanaenda kufutikwa kwenye shubaka na kusahaulika?
 
Bila shaka kama taarifa itakua imeainisha hayo mapungufu itakua ni rahisi kwa ufuatiliaji maana kabla ya mwenge kuzindua mradi wa umma n lazma wa ukague kwa documents na uhalisia ni vema ripoti hyo ikawekwa wazi kwa vyombo simamizi na umma wote tuuanze kuwawajibisha
 
Bila shaka kama taarifa itakua imeainisha hayo mapungufu itakua ni rahisi kwa ufuatiliaji maana kabla ya mwenge kuzindua mradi wa umma n lazma wa ukague kwa documents na uhalisia ni vema ripoti hyo ikawekwa wazi kwa vyombo simamizi na umma wote tuuanze kuwawajibisha
Mnakua wajinga wa kulazimishwa,miaka 63 ya uhuru Bado mmekaa kama wajima.mnakimbiza mwenge wa Nini??
 
Hivi mwenge huwa unawashwa kwa kiberiti cha gesi au hiki cha KUTIKISA?
 
MWENGE umekaa kushirikiana zaidi.

Nashauri wimbo wa taifa urekebishe iwe "MWENGE ibariki TANZANIA"
 
Back
Top Bottom